Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

Dogo kuchapiwa ni siri ya ndani , kuwa mnyonge pia uamuzi unao mwenyewe , in reality mpaka ameamua ku cheat (kama ni kweli) , ujue hana mapenzi ya dhati na wewe , huyo kapata mjanja anaye yajua mambo ,halafu huko kinondoni kuna kila aina ya vishawishi , ukianza na pale american chips labda kadanganywa na vihepe vya pale au ndio wale wabwia unga maana nasikia eti wakiubwia ejaculation mpaka kesho yake.
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.
Hebu tujuze kilichochojiri maana tangia utupie huu uzi muda umepita nadhani ulishapata taarifa kamili kilicchomtokea mai waifu wako.
 
Polee ngoja atapopatikana atakupa sabbu ya msingi.. Usianze kujipa majbu mwenyew, presha itakusumbua bure

Ilo neno yawezekana ana kichaaa cha wivu👅👅👅👅👅👅👅👅
 
Daaah kwanini unaishi kwa hisia kwa style hiyo utakufa mapema
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.

Utanipa TZS ngapi nikutengenezee Dawa ya kunasana kama mbwa!
 
......mi nadhani una was was tuuu kwan uwezi kulinda penzi la mkeo kwa kuwauliza majirani,ilo umekosea mkuu,alafu unaenda mpk kwy facebook account yake yaan unaonyesha jinsi gani umuamini mke wako,mi nakushauri usintengeze mazingira ya kusalitiwa,hata angeweka cm ewan na yupo gesti ungejuaje manake wanaume wa siku iz ndo wanapenda wake za watu kwan awana usumbuvu,
 
Back
Top Bottom