Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

sio mara zote mwanamke akikuzimia simu basi ana cheat
mwanamke anaweza kukupigia simu na kukueleza sweet words huku yuko kitandani na bwana
sio kila unachodhani ndo kilivyo
 
Mkuu msaada nao weza kukupa kwa sasa ni pole hiyo mambo ni ngumu kidogo
 
Neno hilo
Tena anakupa maneno ya mahaba mpaka kichwa kinavimba kumbe huku anapapaswa na mwingine


sio mara zote mwanamke akikuzimia simu basi ana cheat
mwanamke anaweza kukupigia simu na kukueleza sweet words huku yuko kitandani na bwana
sio kila unachodhani ndo kilivyo

Mtoa mada hofu yake ndio inayomuumiza
 
Neno hilo
Tena anakupa maneno ya mahaba mpaka kichwa kinavimba kumbe huku anapapaswa na mwingine




Mtoa mada hofu yake ndio inayomuumiza



Halafu sio mzoefu wa wanawake
na huyu mkewe kaamua tu kumrusha roho
eti toka saa nane hadi usiku simu imezimwa
sasa hata kama yuko na bwana ndo azime masaa yote hayo?
huyu anafanyiwa kusudi na yeye kesha panic...
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.

huko fb hebu jaribu kupiga picha halafu baki nayo kama ushahidi. pili huyo wanarushiana maneno jaribu kumdodosa unaweza kupata ushaidi mzuri . Tatu acaha kufikiri sana pata ushaidi halafu fanya maamuzi magumu.
 
Fanya uchunguzi wako ujiridhishe ili upunguze hizo hasira zako.
 
sio mara zote mwanamke akikuzimia simu basi ana cheat
mwanamke anaweza kukupigia simu na kukueleza sweet words huku yuko kitandani na bwana
sio kila unachodhani ndo kilivyo

Watu kama nyinyi ndio tunawahitaji katika kutoa ushauri ,wengine naona wanaongea vitu vya kitoto,maana atujui muhusika labda wamejaliwa watoto na huyo mke wake,watu ooohoo piga chini ,ooohoo na wewe nenda kachepuke,jamani atusaidii tunazidi kumchanganya ndugu yetu,,Kifupi Mawazo ya mwenye Mke ayajajitosheleza kujua kama mke wake amemsaliti,ninachoona mimi Uenda tabia hizi ndugu yetu yeye ndio mtaalamu zaidi wa kumsaliti mke wake.,
 
ila kama mkeo anabanjuliwa kuna ubaya gani simu zake zikawa on? kwani huo mchepuko haujui kwamba ana mume?
sometime tunasalitiwa kistaarabu bila kujua maisha yanaendelea tu.
sasa mkeo anahitaji kufundishwa technique za kuchepuka
 
matatizo ya distance relationships ndo haya, kila wakati kuhisi hisi tu!!

aisee hii kitu inatesa sana. sioni hata haja ya kuoana kama waendea distance marriage
 
Back
Top Bottom