William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,376
Lakini mkuu, mbona kama kweli kulikuwa na nchi hazikufurahi na uteuzi wa Asha Rose Migiro?? Hebu nielimishe kidogo
- Nigeria, South Africa, na Kenya mpaka leo wako very bitter na uchaguzi wa Asha-Rose, wanajaribu kila njia kumchafua na baadhi ya mamluki wenzetu wabongo nao pia, inasikitisha sana.
FMES!