Mkuu ninaomba kama kuna mwenye kuikumbuka ile kesi ya mauaji ya kijana mmoja aliyemuua dada yake hapo Upanga karibu na Palm Beach miaka ya 80 nadhani - mtoto wa Mzee Nombo atuhabarishe. Ilisikitisha sana.
Agenidadavulia zaidi ningeweza kuitafuta........hii kama vile ina ring a bell, n mie nimesahau story. ilikuwa mafkletini au? ilikuwaje kama unakumbuka kidogo? Mtambuzi tunasubiri more
Mpaka sasa zimeshafika 14................Na bado ninazo 10 kwenye Maktaba yangu.................Sijui zitakuwa Ijumaa ngapi hapo.............Hebu nikokotoleeni maana mie kilaza wa hesabu..............LOLHaya Mtambuzi tunasubiri utuletee kesi hizi, naona zimetajwa nyingi. Thanks Mkuu
Wanilipe kwanza mkwanja wangu.Script writers ..this is a gold mine!
Tengenezeni filamu za kibongo kwa kutumia mikasa hii.
KUMBUKUMBU zangu ni suspect kidogo,marehemu alikuwa ni mke wa mfanya biashara maarufu na tajiri mkubwa mwanza Mr D----o,hence marehemu akawa na biashara zake ambazo alimshirikisha mtuhumiwa ambaye ni mdogo wake,biashara ikawa haiendi sawa kutokana na huyo bwa mdogo kufuja mali.Dada akamuweka bench mdogo wake,the next thing jamaa akachinjachinja sister.inasemekana uvutaji mkubwa wa bangi ndio ulisababisha huyu jamaa kuwa mental na kufanya hicho kituko.Mkuu ninaomba kama kuna mwenye kuikumbuka ile kesi ya mauaji ya kijana mmoja aliyemuua dada yake hapo Upanga karibu na Palm Beach miaka ya 80 nadhani - mtoto wa Mzee Nombo atuhabarishe. Ilisikitisha sana.
Ni vyema MODS wafanye mawasiliano na CLOUDS kuwakumbusha kutaja SOURCE, Huo ni sawa na uharamia wa habari.............hiki kisa clouds wameanza kukisimulia leo katika leo tena.... kesho wataendelea...
nawashauri waseme source basi - maana wamesema wameitoa mtandaoni kupitia google .. nina uhakika 70% watakuwa wameipakua humu
ni vyema mods wafanye mawasiliano na clouds kuwakumbusha kutaja source, huo ni sawa na uharamia wa habari.............