William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Heshima mbele mkuu,
Hapa tunajadili siasa ya Tanzania na hasa viongozi wetu mimi sina tatizo na hoja nziro dhidi ya viongozi waadilifu ndani ya CCM, kwa sababu ni the only way wananchi watawafahamu vizuri, kwa hiyo kwa wale wanaofikiri kuwa kwa kuwarushia matusi ya nguoni kuwa huenda wanawaharibia, ninawaambia kuwa ni kinyume, ni kwamba wanatupa nafsi za kuwaonyesha uwezo wao, ndio maana hatuchoki hata siku moja,
Mama Kilango, ninamchukulia kidogo almost kama Mrema, unajua Mrema hakuwa na elimu kubwa sana ya siasa, angekuwa nayo by now angekuwa rais wa bongo tayari kwa sababu everything was lined up tayari, lakini ni tamaa zake za fisi ndio zilizomponza mpaka leo ameshindwa kuwa hata waziri mkuu, unajua alishakuwa Deputy Waziri Mkuu, unajua sababu? Ni kwa sababu alikuwa very popular na wananchi, kwa hiyo kiongozi yoyote aliyetaka kukubalika na wananchi ilikuwa ni lazima am-include Mrema kwenye safu yake ya uongozi tena nafasi ya juu, kwa hiyo ni clear next poosition angekuwa angalau waziri mkuu, lakini ni wasi wasi wake na haraka ya madaraka ndiyo ikamfanya aondoke kabla, na mpaka leo hajui jinsi viongozi wengi wa CCM walivyofurahi alipoenda upinzani, maana walijua akiwa huko hawezi kuwaumbua sana kama angekuwa ndani, ingawa pia tunaheshimu sana kitendo chake cha kwenda kule maana kilitusaidia sana taifa kuwaamsha CCM,
Mama Kilango, is doing just fine tena real fine, mkuu wangu waulize wanasiasa wote wa bongo, nini maana ya kiongozi wa level ya ubunge kuweza kuchangisha Sillingi Millioni 10 kwa siku moja, maana kumbuka kuwa siasa ya sasa ni pesa sio maneno mengi tena, sasa kiongozi wa siasa ukifikia level hii ya kuweza kuchangisha hela zote hizi kwa notice ya siku mbili tatu tu, unakuwa umefika mbalia sana as far as influence na kukubalika, sasa kwenye siasa za taifa she is great, na za local ndio hivi majuzi amekuwa akitembelea jimbo lake zima na kufungua misingi 30 ya visima vya maji, ambayo ilikuwa ni moja ya ahadi zake kwa wananchi wakati wa kampeni za ubunge, pia kuacha zilizotolewa na muungwana, kwenye huo mradi sasa in two months hivi visima vitakuwa vimekwiwsha na wananchi watakunywa maji safi sana, na bado yupo shuleni akiendelea kumalizia Degree yake ya uchumi maana yeye hii ya economics anaijua kwa kuzaliwa nayo, huwezi kuwa na maduka yote aliyonayo bila kuwa mchumi uliyebobea,
Ni kiongozi ambaye hajawahi kuiba wala kuharibu akiwa kwenye uongozi wa siasa, na wala sio fisadi, sasa pole pole ana-make a lot of political gains locally ingawa ukiangalia kwa wasi wasi unaweza kumdharau, maana wanaume waafrika tumezoea hilo against wanawake, lakini ndugu yangu mdharau mwiba si unajua huota nini sasa usije shangaa siku moja wananchi watakapoamua kumpa heshima yake anayostaili, maana kwenye siasa cha muhimu ni kujali small deatils kwanza kabla hujarukia details kubwa, na ndio tatizo kubwa la wanasiasa wetu, kwa wale tunaomfuatilia wka karibu sana tunaridhika sana na hatua alziokwisha piga so far tena yuko far ahead of the game, kuacha hizi kelel za mlango hapa na pale,
Tunasema toa constructive criticism, kwa sababu zinaeza hata kumsaidia mama katika kuongoza wananchi hasa katika hii vacuuum ya political will among viongozi wetu wa juu, sasa mwenye kuonyesha kuwa nayo ni lazima tumsaidie, mapungufu wote kama bina-adam tunayo, lakini kama unajua mapungufu ya kiongozi yoyote kiuongozi ni vema uyasema kama yalivyo, lakini usizushe uongo maana sasa utasaidia kumuongezea umaarufu tu yule kiongozi, sasa toa constructive criticism utamsiadia sana yle kiongozi badala ya matusi ya nguoni na mitaaani, huu uwanja wa JF ni too big na hizo criticism ziszokuwa na macho wala miguu, ninajua kuwa kuna wanaoathirika sana na ushambulizi wake dhidi ya mafisadi, lakini kwenye kumkoma nyani giladi huwa hatuangalii uso wa mtu!
Halafu when the times come, yaani ya uchaguzi tutakuwa na viongozi wengi sana wa kuchagua, wananchi kama Dr. Slaaa, Zitto, Mwakyembe, Sendeka, Mama Kilango, Asha Migiro, Masha, Mwandosya, na wengineo wengi tu, this is good for our country mkuu, kuwa na choices mbali mbali, kwa hiyo si kweli kuwa sioni chongo, hapana nina tabia ya kuheshimu vipaji vya wananchi bila kujali kama ni wanaume au wanawake, wamesoma au hawakusoma, ninawafahamu au siwafahamu, ndio maana pia ninamfagilia sana Mama Migiro, maana huyu naye ni super super!
Hapendwi mtu hapa ila ni matendo na hoja tu!
Ahsante Mkuu
Hapa tunajadili siasa ya Tanzania na hasa viongozi wetu mimi sina tatizo na hoja nziro dhidi ya viongozi waadilifu ndani ya CCM, kwa sababu ni the only way wananchi watawafahamu vizuri, kwa hiyo kwa wale wanaofikiri kuwa kwa kuwarushia matusi ya nguoni kuwa huenda wanawaharibia, ninawaambia kuwa ni kinyume, ni kwamba wanatupa nafsi za kuwaonyesha uwezo wao, ndio maana hatuchoki hata siku moja,
Mama Kilango, ninamchukulia kidogo almost kama Mrema, unajua Mrema hakuwa na elimu kubwa sana ya siasa, angekuwa nayo by now angekuwa rais wa bongo tayari kwa sababu everything was lined up tayari, lakini ni tamaa zake za fisi ndio zilizomponza mpaka leo ameshindwa kuwa hata waziri mkuu, unajua alishakuwa Deputy Waziri Mkuu, unajua sababu? Ni kwa sababu alikuwa very popular na wananchi, kwa hiyo kiongozi yoyote aliyetaka kukubalika na wananchi ilikuwa ni lazima am-include Mrema kwenye safu yake ya uongozi tena nafasi ya juu, kwa hiyo ni clear next poosition angekuwa angalau waziri mkuu, lakini ni wasi wasi wake na haraka ya madaraka ndiyo ikamfanya aondoke kabla, na mpaka leo hajui jinsi viongozi wengi wa CCM walivyofurahi alipoenda upinzani, maana walijua akiwa huko hawezi kuwaumbua sana kama angekuwa ndani, ingawa pia tunaheshimu sana kitendo chake cha kwenda kule maana kilitusaidia sana taifa kuwaamsha CCM,
Mama Kilango, is doing just fine tena real fine, mkuu wangu waulize wanasiasa wote wa bongo, nini maana ya kiongozi wa level ya ubunge kuweza kuchangisha Sillingi Millioni 10 kwa siku moja, maana kumbuka kuwa siasa ya sasa ni pesa sio maneno mengi tena, sasa kiongozi wa siasa ukifikia level hii ya kuweza kuchangisha hela zote hizi kwa notice ya siku mbili tatu tu, unakuwa umefika mbalia sana as far as influence na kukubalika, sasa kwenye siasa za taifa she is great, na za local ndio hivi majuzi amekuwa akitembelea jimbo lake zima na kufungua misingi 30 ya visima vya maji, ambayo ilikuwa ni moja ya ahadi zake kwa wananchi wakati wa kampeni za ubunge, pia kuacha zilizotolewa na muungwana, kwenye huo mradi sasa in two months hivi visima vitakuwa vimekwiwsha na wananchi watakunywa maji safi sana, na bado yupo shuleni akiendelea kumalizia Degree yake ya uchumi maana yeye hii ya economics anaijua kwa kuzaliwa nayo, huwezi kuwa na maduka yote aliyonayo bila kuwa mchumi uliyebobea,
Ni kiongozi ambaye hajawahi kuiba wala kuharibu akiwa kwenye uongozi wa siasa, na wala sio fisadi, sasa pole pole ana-make a lot of political gains locally ingawa ukiangalia kwa wasi wasi unaweza kumdharau, maana wanaume waafrika tumezoea hilo against wanawake, lakini ndugu yangu mdharau mwiba si unajua huota nini sasa usije shangaa siku moja wananchi watakapoamua kumpa heshima yake anayostaili, maana kwenye siasa cha muhimu ni kujali small deatils kwanza kabla hujarukia details kubwa, na ndio tatizo kubwa la wanasiasa wetu, kwa wale tunaomfuatilia wka karibu sana tunaridhika sana na hatua alziokwisha piga so far tena yuko far ahead of the game, kuacha hizi kelel za mlango hapa na pale,
Tunasema toa constructive criticism, kwa sababu zinaeza hata kumsaidia mama katika kuongoza wananchi hasa katika hii vacuuum ya political will among viongozi wetu wa juu, sasa mwenye kuonyesha kuwa nayo ni lazima tumsaidie, mapungufu wote kama bina-adam tunayo, lakini kama unajua mapungufu ya kiongozi yoyote kiuongozi ni vema uyasema kama yalivyo, lakini usizushe uongo maana sasa utasaidia kumuongezea umaarufu tu yule kiongozi, sasa toa constructive criticism utamsiadia sana yle kiongozi badala ya matusi ya nguoni na mitaaani, huu uwanja wa JF ni too big na hizo criticism ziszokuwa na macho wala miguu, ninajua kuwa kuna wanaoathirika sana na ushambulizi wake dhidi ya mafisadi, lakini kwenye kumkoma nyani giladi huwa hatuangalii uso wa mtu!
Halafu when the times come, yaani ya uchaguzi tutakuwa na viongozi wengi sana wa kuchagua, wananchi kama Dr. Slaaa, Zitto, Mwakyembe, Sendeka, Mama Kilango, Asha Migiro, Masha, Mwandosya, na wengineo wengi tu, this is good for our country mkuu, kuwa na choices mbali mbali, kwa hiyo si kweli kuwa sioni chongo, hapana nina tabia ya kuheshimu vipaji vya wananchi bila kujali kama ni wanaume au wanawake, wamesoma au hawakusoma, ninawafahamu au siwafahamu, ndio maana pia ninamfagilia sana Mama Migiro, maana huyu naye ni super super!
Hapendwi mtu hapa ila ni matendo na hoja tu!
Ahsante Mkuu