Asha Bakari aanguka ghafla Dodoma

Mungu amjalie afya njema arudi kuendelea na jukumu la kutunga katiba.
 

haya mabunge mengine yangekuwa yanapunguza idadi bungeni maana ni kero tupu yawapo bungeni
 
Watakuwa wameshapata kisingizio cha kuahirisha BMK!

huyo yupo bungeni kwa ajili ya posho tu,hata vifungu vya sura mbalimbali haelewi,eti anapigania katiba ya watz,atakuwa yeye!bila maridhiano katiba haipo nyie maccm,
 
. G Sam muone huruma huyo mama mkuu...wote tuna fahamu magamba ni tatizo
 
Last edited by a moderator:
Ni Asha Bakari hata mimi kabla ya kuufungua huu uzi nikadhani ni Asha Baraka pamoja na kuwa imeandikwa Bakari, baada ya kuona picha ndio nikajua si al maaruf Asha Baraka.


Asha Bakari au Asha Baraka ni kaswali tu wakuu.
 
Ndo kusema watu walio omba ebola ifike bungeni kilio chao kimesikikaaa

ikimkamata Lukuvi na wassira, tayari wabunge walio na akili watatumia akili sasa kujadili. Lakin kwa sasa naomba huyo mmbaguzi wa wapemba na chanzo cha mifarakano zanzibar afe ili watoke Dodoma kwenda kuhudhuria mazishi.
 

Baada ya kuona BAK MANI na Daudi Mchambuzi wame like hii post nimejikuta ninacheka sana.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu CHOONI, huyu mama yenu ndo yule anayelilia u.u.me Wa Jussa? Kazi kweli kweli!!

Ha ha ha ! Umenikumbusha jinsi Sofia Simba alivyosema kuwa Lowasa ni dume la mbegu. Hiki chama chao kinaonyesha suala la kufyatuana linapewa kipaumbele


Sent from my iPad using JamiiForums
 
ikimkamata Lukuvi na wassira, tayari wabunge walio na akili watatumia akili sasa kujadili. Lakin kwa sasa naomba huyo mmbaguzi wa wapemba na chanzo cha mifarakano zanzibar afe ili watoke Dodoma kwenda kuhudhuria mazishi.
Na uwezo wa kupatikana ile theluthi 2 ndo utaongezeka vizuri haaa ha haa haa
 
Hizi chuki nyingine jamani sasa too much,anyway labda mnajuana wenyewe ngoja tuwaache.

Kikwete: "The death of Osama bin Laden is a relief" The same applied to me for Asha Bakari...
Tatizo watu hamjui athari za wanaovuruga huu mchakato wa katiba mpya! 2015 Tanzania itakuwa nchi nyingine kabisaaaaaa na kwa kweli hili hata wewe unalijua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…