Huyu mama ndo wa kuufyata?
Yule aliyembagua Mh.Jusa kwa rangi ya ngozi..
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.
Taarifa ziliopo ni kwamba Bi Asha Bakari wa CCM ameanguka ghafla huko Dodoma akitokwa na damu za mdomo na masikio na hivyo kuwahiwa hospitali ya Muhimbili.
View attachment 179429
-------------------
Taarifa zilizopatikana kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Mjumbe machachari wa Bunge la Katiba Asha Bakari (CCM) ameugua ghafla; kahamishiwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi japo kapata nafuu.
Taarifa ziliopo ni kwamba Bi Asha Bakari wa CCM ameanguka ghafla huko Dodoma akitokwa na damu za mdomo na masikio na hivyo kuwahiwa hospitali ya Muhimbili.
View attachment 179429
-------------------
Taarifa zilizopatikana kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Mjumbe machachari wa Bunge la Katiba Asha Bakari (CCM) ameugua ghafla; kahamishiwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi japo kapata nafuu.
Msalani. Naungana na wewe kumtakia mema. Lakini kwa kuwapigania Watanzania,hapana bwana mdogo. Huyu si ndiye yule mbibi aliyemaliza muda wake wote kwa matusi kwa Jusa, akisema serikali ya zanzibar ni ya kimapinduzi haipinduliwi kwa makaratasi, na matuisi kede kede? Anapigania watanzania gani kwa hoja ipi? Mtu asiyejua hata maana ya bunge maalum la katiba, wala hana habari kama kuna kitu kinaitwa rasimu ya katiba!. Tafadhali acha utani.
Dawa yake Dr. ampe complete bed rest ya miaka miwili ili akiruhusiwa kuinuka, akute dunia yake haipo.
La msingi, kama ni ebola, wabunge walioko dodoma wawekwe kwenye quarantine hadi mwezi mmoja upite bila kukutana na watu wa nje. Yaawezekana natural justice Mungu ameileta ili kuwastopisha hawa wahuni.