Asha Bakari aanguka ghafla Dodoma

Asha Bakari aanguka ghafla Dodoma

Alisema yeye ameufyatua, ila Jusa kaufyata kwa sababu hata hajaweza kuweka mimba kwa mtu azae mtoto.

Honestly nilishangaa sana mtu anatumia airtime za bunge kuelezea maana ya kuufyata ni mtu mwenye busha, analificha kwa kulirudisha nyuma. Eti yeye ameshaufyatua na ana watoto, jusa bado ameufyata. Halafu majitu mazima yanapiga meza na kushangilia. Si wenda wazimu huo?

Huyu mama ndo wa kuufyata?
 
Hv huyu aliteuliwa au alipigiwa kura kabsa na wananchi wnye akiri zao timamu!.
Bunge le2 ndo linaweza kuwa bunge no 1 duniani kwa wabunge vilaza
 
hapa kuna mkono wa ukawa, mchage tueleze nahili cdm wanahusika?
 
Huyu mama ni kati ya wajumbe ambao hawajui wameenda Dodoma kufanya nini, namuombea apewe bed rest mpaka bunge liishe
 
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.

hivi mziki wa ebola ukiingia huko mjengoni, bado mtaendelea kusema Rais hana madaraka ya kusitisha bunge!? (GOD FORBID)
 
Dalili za ebola hizo waangalie
Taarifa ziliopo ni kwamba Bi Asha Bakari wa CCM ameanguka ghafla huko Dodoma akitokwa na damu za mdomo na masikio na hivyo kuwahiwa hospitali ya Muhimbili.

View attachment 179429


-------------------

Taarifa zilizopatikana kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Mjumbe machachari wa Bunge la Katiba Asha Bakari (CCM) ameugua ghafla; kahamishiwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi japo kapata nafuu.
 
Taarifa ziliopo ni kwamba Bi Asha Bakari wa CCM ameanguka ghafla huko Dodoma akitokwa na damu za mdomo na masikio na hivyo kuwahiwa hospitali ya Muhimbili.

View attachment 179429


-------------------

Taarifa zilizopatikana kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Mjumbe machachari wa Bunge la Katiba Asha Bakari (CCM) ameugua ghafla; kahamishiwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi japo kapata nafuu.

Pole Sana Bi Asha ....wa kufytua...

Kutokwa Damu puani na mdomoni madaktari hatua ya kwanza ni kum suspect Kama Mgonjwa wa Ebola hadi Majibu yake yakitoka Ndio aruhusiwee kutibiwa general ward
 
Msalani. Naungana na wewe kumtakia mema. Lakini kwa kuwapigania Watanzania,hapana bwana mdogo. Huyu si ndiye yule mbibi aliyemaliza muda wake wote kwa matusi kwa Jusa, akisema serikali ya zanzibar ni ya kimapinduzi haipinduliwi kwa makaratasi, na matuisi kede kede? Anapigania watanzania gani kwa hoja ipi? Mtu asiyejua hata maana ya bunge maalum la katiba, wala hana habari kama kuna kitu kinaitwa rasimu ya katiba!. Tafadhali acha utani.

Dawa yake Dr. ampe complete bed rest ya miaka miwili ili akiruhusiwa kuinuka, akute dunia yake haipo.

La msingi, kama ni ebola, wabunge walioko dodoma wawekwe kwenye quarantine hadi mwezi mmoja upite bila kukutana na watu wa nje. Yaawezekana natural justice Mungu ameileta ili kuwastopisha hawa wahuni.

Hahahhahaa eti ample bed rest miaka miwili akiamka.akute dunia yake haipo hahaahahah
 
Labda s3xy drop a.k.a viagra ya ke! Si ebola....

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
ASHA BAKARI AANGUKA BUNGENI ..ANATOKWA DAMU PUANI ,MDOMONI,NA MASIKIONI .....NI DALILI YA EBOLA
KADIRI YA MUONGOZO WA WIZARA YA AFYA MGONJWA MWENYE DALILI YEYOTE YA AINA HIYO HUCHUKULIWA NA KUTENGWA ( kubaguliwa Kama alivombagua jusa ) HADI MAJIBU YAKE YATOKE ..NDIO HUCHUKULIWA KUWA ANA UGONJWA ..TOFAUTI ....

NA KADIRI YA UTARATIBU WA AFYA MAAFISA WA AFYA ITABIDI WAWEKE WOTE WALIOKUWA BUNGEN ALIPOANGUKA ...KWENYE GARANTINI HADI MAJIBU YA BI ASHA YATOKE...HIII PIA KAMA TARATIBU ZA AFYA ZITAFUATWA ITAHUSISHA ..KUSITISHA SHUGHULI ZOTE MAHAALA HAPO
 
Pole kwq bi asha namuombea apone ila asiende kule kuliko laaniwa kwasasa mpaka kutakapo takaswa tena
 
Back
Top Bottom