Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mungu amjalie afya njema arudi kuendelea na jukumu la kutunga katiba.
Taarifa ziliopo ni kwamba Bi Asha Bakari wa CCM ameanguka ghafla huko Dodoma akitokwa na damu za mdomo na masikio na hivyo kuwahiwa hospitali ya Muhimbili.
View attachment 179429
-------------------
Alipelekwa Muhimbili jana. Ni Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (Viti Maalumu). Ni Mbunge wa Bunge la Katiba.
Katibu wa Bunge, Yahya Khamis Hamad amethibitisha. Amesema tatizo la kutoka damu puani kwa mhe ni la kawaida... Aliwahi kupelekwa kutibiwa nje ya nchi kwa tatizo hilo. Kwa sasa anaendelea vizuri. Madaktari wanasema huenda kumetokana na hali ya hewa ya Dodoma ambayo kwa sasa ni baridi.
Akipata nafuu, atarejea Dodoma kuendelea na vikao
Watakuwa wameshapata kisingizio cha kuahirisha BMK!
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.
Akiwa zanzibar 3 akiwa bara 2!! Basi kumbe ni laana na hasira za mungu zipo juu yake, atubu dhambi amrudie mungu.
Mkuu CHOONI, huyu mama yenu ndo yule anayelilia u.u.me Wa Jussa? Kazi kweli kweli!!
Asha Bakari au Asha Baraka ni kaswali tu wakuu.
Ndo kusema watu walio omba ebola ifike bungeni kilio chao kimesikikaaa
Msalani. Naungana na wewe kumtakia mema. Lakini kwa kuwapigania Watanzania,hapana bwana mdogo. Huyu si ndiye yule mbibi aliyemaliza muda wake wote kwa matusi kwa Jusa, akisema serikali ya zanzibar ni ya kimapinduzi haipinduliwi kwa makaratasi, na matuisi kede kede? Anapigania watanzania gani kwa hoja ipi? Mtu asiyejua hata maana ya bunge maalum la katiba, wala hana habari kama kuna kitu kinaitwa rasimu ya katiba!. Tafadhali acha utani.
Dawa yake Dr. ampe complete bed rest ya miaka miwili ili akiruhusiwa kuinuka, akute dunia yake haipo.
La msingi, kama ni ebola, wabunge walioko dodoma wawekwe kwenye quarantine hadi mwezi mmoja upite bila kukutana na watu wa nje. Yaawezekana natural justice Mungu ameileta ili kuwastopisha hawa wahuni.
Mkuu CHOONI, huyu mama yenu ndo yule anayelilia u.u.me Wa Jussa? Kazi kweli kweli!!
Baada ya kuona BAK MANI na Daudi Mchambuzi wame like hii post nimejikuta ninacheka sana.
Sent from my iPad using JamiiForums
Mkuu CHOONI, huyu mama yenu ndo yule anayelilia u.u.me Wa Jussa? Kazi kweli kweli!!
Na uwezo wa kupatikana ile theluthi 2 ndo utaongezeka vizuri haaa ha haa haaikimkamata Lukuvi na wassira, tayari wabunge walio na akili watatumia akili sasa kujadili. Lakin kwa sasa naomba huyo mmbaguzi wa wapemba na chanzo cha mifarakano zanzibar afe ili watoke Dodoma kwenda kuhudhuria mazishi.
Hizi chuki nyingine jamani sasa too much,anyway labda mnajuana wenyewe ngoja tuwaache.
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.