Asha Bakari aanguka ghafla Dodoma

Asha Bakari aanguka ghafla Dodoma

Siku zote mioyo iliyotiwa ugumu ni si kwa manufaa ya mwanadamu,bali ni ili Mungu ajitwalie utukufu...
 
Siku zote mioyo iliyotiwa ugumu ni si kwa manufaa ya mwanadamu,bali ni ili Mungu ajitwalie utukufu...
 
Cmpendi sana huyo mama akafie mbali na malaz yake na bado wengine wamo watakatka kama kamba
 
dah ingekua ebola ingependeza sana na hivi ukawa hawapo basi wangeambukizana wenyewe kwa wenyewe,mara mwigulu nae midam hiyoo, af na msaliti samweli six nae apatwe na huo ugonjwa hiyo ndio ingekuwa mwisho wa jeuri zao, majahili wakubwa hao

Hahahha hahhahahah hahhahha...umenichekesha sana
 
Ndo BiBi huyu aliporudi Bunge la Katiba pale mwanzo alikuwa anavaa Ninja mitaani watu wasimjuwe kama ni msaliti kule Zanzibar sasa anasumbuliwa na Ebola.,
Bunge halitahuzuriwa kuanzia Kesho kwa mafisadi ccm wanao penda posho na kuishi! Ebola Ndio ukawa yenyewe.
 
mwanangu jussa mimi sijaufyata,nimeshaufyatua,nina watoto watatu,,uliyeufyata ni wewe usiye na mtoto hata mmoja!ugua pole pointless mama.
 
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.

Awapiganie watanzania wa wap? laana za kuyakataa maoni yetu wananchi.
Tutana kwny kura ya maoni.We are waiting them aside,we will hit them severelly
 
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.
angekufa tu ili hiyo koram magumashi isipatikane! Na arehehemiwe huko alipo! majitu ya CCM yakifa ni sherehe tu kwetu! kwani ndio yanahanikiza mauaji ya watoto na dada zetu wanaokosa gloves tu wakati wa kujifungua! na akafie mbele
 
Nilidhani unasema tayari ni marehemu. Huyu mama ni janga la katiba mpya.
 
Back
Top Bottom