NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,966
Mbona wakifika Dodoma wanalowa sana?
Mkuu,huwajui Vizuri hao.Ni Wakavu na Wanajua Walifanyalo HAWALOWI NA HAWATALOWA KAMWEE!
Mbona wakifika Dodoma wanalowa sana?
Tunawafuatilia. Tusaidieni kulinda heshima ya Tanganyika na Tume yetu. Kwakuwa wa kwetu hawaeleweki,tunawategemea nyinyi. Wazanzibari mna rekodi ya kimapinduzi na kuthubutu. Mkiamua mnaweza.
Nawaamini na kuwapenda sana Wazanzibari. Mungu awape nguvu msimamie ukweli. Asanteni sana!
Wakuu mwenye taarifa zisizo na shaka pls tuhabarishane, vp Sitta kaumbuka tuanze kuimba nyimbo na mapambio?.........Nahisi kushindwa kwa shetani huko kuzimu.
Hao wa fax wanapiga lini zao
Tunawafuatilia. Tusaidieni kulinda heshima ya Tanganyika na Tume yetu. Kwakuwa wa kwetu hawaeleweki,tunawategemea nyinyi. Wazanzibari mna rekodi ya kimapinduzi na kuthubutu. Mkiamua mnaweza.
Nawaamini na kuwapenda sana Wazanzibari. Mungu awape nguvu msimamie ukweli. Asanteni sana!
Mkuu mbona wewe unampenda Nape? Akiacha kuitunza familia yako utaendelea kumpenda?Umeanza kuwapenda kwa sababu baadhi yao wamepiga kura za hapana.
Huu ni ubinafsi...tuu na kwakuwa amegusa interest zenu!
Uendelee kuwapenda hata wasipo gusa interest zenu
Mkuu wacha kabisa, kwa yanayoendelea dodoma moyo wangu ni kama theluji jinsi unavyon'gaa..........naona Nuru mbele yangu.mkuu nakuzabua kofi za likes 45,000
Mungu huwa hawakopeshi wadhalimu kamwe. Ukweli utadhihirika muda si mrefu na wenye maoni yao watashinda, i e wananchi .
Well said mkuu
Natamani ningezaliwa Pemba la wala si Urambo Tabora ambako 6 ametuaibisha sana.Hongera Wanzanzibar kwa kura zenu za HAPANA mmetufuta machozi sisi wenye kesi za kuandamana.Sasa hivyi naona aibu kusema mimi ni mzaliwa wa Tabora.
Natamani ningezaliwa Pemba la wala si Urambo Tabora ambako 6 ametuaibisha sana.Hongera Wanzanzibar kwa kura zenu za HAPANA mmetufuta machozi sisi wenye kesi za kuandamana.Sasa hivyi naona aibu kusema mimi ni mzaliwa wa Tabora.
Tunawafuatilia. Tusaidieni kulinda heshima ya Tanganyika na Tume yetu. Kwakuwa wa kwetu hawaeleweki,tunawategemea nyinyi. Wazanzibari mna rekodi ya kimapinduzi na kuthubutu. Mkiamua mnaweza.
Nawaamini na kuwapenda sana Wazanzibari. Mungu awape nguvu msimamie ukweli. Asanteni sana!