Asanteni Wazanzibari, nawapenda sana

Asanteni Wazanzibari, nawapenda sana

Pongezi sana kwa wazanzibari kwa kuonyesha msimamo ,watanganyika ni mafunzo tosha kwetu
 
Tunawafuatilia. Tusaidieni kulinda heshima ya Tanganyika na Tume yetu. Kwakuwa wa kwetu hawaeleweki,tunawategemea nyinyi. Wazanzibari mna rekodi ya kimapinduzi na kuthubutu. Mkiamua mnaweza.

Nawaamini na kuwapenda sana Wazanzibari. Mungu awape nguvu msimamie ukweli. Asanteni sana!

Mkuu,

Mpaka leo hii mambo yakoje?
 
Back
Top Bottom