HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
Leo mtaani kwetu Pugu kajiungeni kulikuwa na sherehe ya kumpongeza Dr. Dalali Kafumu kwa kuchaguliwa kuwa mbuge wa Igunga.Huku ndio nyumbani kwake hivyo mavumba ya posho ndiko yatakotumika,poleni wanaigunga kwa kuambulia pombe,mahindi na tindikali,sisi twala.
Pokeeni asante yangu.
Pokeeni asante yangu.