Asanteni wanaigunga kwa kutuletea ulaji Pugu

Asanteni wanaigunga kwa kutuletea ulaji Pugu

Mimi ni mwana igunga wanajamii sasa huo ni uzumbukuku,hivi ni nani alowambieni kua tunategemea chakula toka kwa mbunge?eti pugu tunakula so what?sisi kazi yetu ilikua kuchagua mbunge na tumemchangua,tulijitahidi sana kupiga kulele ili tumpata mbunge tunae mtaka lakin ilishdikana sasa mtu tena wa chadema anapo nyanyua kinywa nakutulaumu wanaigunga, nakosa iman kabisa,mtoto ajawahi kwenda shule unampeleka shule moja kwa moja anafanya mtihani wa darasa la nne anakua wakumi bado unamtandika viboko eti kafeli,kweli? ulitaka afaulu kwa kiwango gani?na kwa elimu gani ulompatia?pungu kuleni wali na masense kuleni wali ndo sisiem wote walivo kwani hata dr mwakyembe atujaambiwa anatoka nyumbani kwake mbeya bali nyumban kwake kunduchi mtongani dar es salaam kwenda India!!tuache kushabikia vyama tushabikie nchi yetu kwanza!
Mkuu rudi shule kwanza.
 
igunga wamempenda kafumu zaidi inakuhusu nini? Cdm poleni sana mjaribu tena next time
 
aaah kweli huu ubungge wa brifcase noma
 
Sasa kwa matusi hayo kwa wana igunga nadhani mnajisahau kuwa kuna uchaguzi 2015,hivyo wapeni hongera kwa kupunguza zile asilimia si matusi kama hayo ambayo hayafanani na great thinkers...
 
CDM bana! Igunga wamemchagua mtu waliyekuwa wanamtaka!!
Mmekosa mnaaanza kubwabwaja!! Poleni sana looserz wangu. Next time labda mtapata akili.
i

wakuumwa ni wakuumwa tu pole wape wanaigunga wameongeza majeraha
 
kaumza, nilidhani ccm walipata 49%? ama nimekariri matokeo rasmi aliyotoa nape? ngoja waipate fresh kwanza,hawajui kusoma hata picha hawakuielewa? na ningekua na mzazi kule hata krismas siendi,acheue mpunga usiokuwa na nyama wa ccm aliokula wakati wa uchaguzi!

du! Kwel king'asti!!, acheue mpunga......., umenipa raha!
 
Back
Top Bottom