Asanteni sana Pilot na Crew wa JamiiForums

Asanteni sana Pilot na Crew wa JamiiForums

😎😎
1921C7B1-16EB-46C4-8D98-D3E887684C26.jpeg
 
Uje uombe msamaha kwa kile unachohubiri toka kwenye Bible iliyotafsiriwa na kupandikizwa uhuni mwingi.
Ukijazwa Roho Mtakatifu anakuongoza na kukufundisha unapoisoma Biblia. Sio rahisi kudanganywa hata wahuni wakipandikiza vitu vyao utajua.
Kwanini Waizraili waliondoka weusi na Sasa wamekuwa weupe ?
Maumbile, mchanganyiko wa vizazi, na mabadiliko ya kijiografia yanabadilisha rangi.
Taifa lililokuwepo miaka Zaid ya 3000 ila likaanza 1948 ?
Israeli ilikuwepo tangu nyakati za Biblia. Mwaka 1948 ni mwaka ambao ilirudishwa tu kama taifa la kisiasa.
Jina la hapo panapoitwa Israel kuanzia miaka ya 1500 ukitumia Ramani potepalikuwa Africa, Je walikuwa wapi hao waisrael ?
Ramani nyingi za kale zilikuwa na makosa ya kijiografia; Israeli ipo Asia ya Kati, sio Afrika.
Mungu gani aliweka Eden Jangwan ?
Eden haikuwa jangwani, ilikuwa bustani nzuri sana. Dhambi za wanadamu ndizo zilizoifanya dunia iwe na mapungufu.
Kwanini aruhusu uporaji was ardhi na asiumbe Kama alivyoiumba Dunia ?
Mungu ametupatia free will, lakini pia siku ya mwisho atawahukumu wote wenye kudhulumu.
Kwann Mungu wa kwenye biblia anafanana na wanasiasa ....Anasema usiue ila yeye akamuuwa mwanaye ?
Kuna tofauti kubwa: amri za Mungu ni takatifu, na alimtoa Mwanawe afe kwa ajili yetu ili sisi tuwe na uzima. Na hata alipokufa, alishinda mauti, akafufuka
Yesu ni Mungu , Je Mungu anakufa ?
Yesu alikufa kimwili tu, lakini Uungu wake haukufa; kifo chake kilikuwa njia ya wokovu.
 
It is a curious exhibition of semantic shallowness that you would so unceremoniously brand as rubbish the sacred discipline of eucharistic acknowledgment, which in the hierarchy of virtues occupies an apex unsurpassed. To depreciate thanksgiving is not merely a lapse of civility, but a profound abdication of metaphysical sobriety, for the human spirit is never so ennobled as when it bows in reverent gratitude. The oracular injunction stands immovable: 'In everything give thanks; for this is the will of God in Christ Jesus for you' (1 Thessalonians 5:18). That which your tongue belittles as rubbish is, in fact, the immutable ordinance that dignifies mortality with eternal significance.
 
Safari yetu katika ndege hii ya "JF Airlines" inaendelea vyema mno. Abiria tunajisikia raha kwa sababu hatusikii mawimbi wala mitikisiko ya kututia hofu. Yote hii ni kwa sababu ya uongozi imara wa Captain wetu DoubleM pamoja na crew wake mahiri wanaojituma kuhakikisha kila abiria anafurahia safari.

Nawashukuru kwa namna mnavyoongoza ndege hii kwa hekima, upendo na uvumilivu, kuhakikisha kila mmoja anafika anapokusudia bila matatizo. Bila nyinyi, safari hii isingekuwa yenye furaha na utulivu kama ilivyo sasa.

Ndugu abiria wenzangu, msisubiri mpaka ndege itue ndio mshukuru. “Shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” (1 Wathesalonike 5:18)

May the Lord watch over every passenger on this plane, and grant us a safe journey.

View attachment 3466043
Mi nimependa tu kapicha ka ndege na rangi yake.
Kwa kumuenzi mkuu Melo Maxcence na heshima anayotupa humu jukwaani, ikiwemo ulinzi wa taarifa zetu(safe journeys in our flights through keyboards and threads), tutoe tone tone to bring this hypothetical JF airline into existence.
 
Safari yetu katika ndege hii ya "JF Airlines" inaendelea vyema mno. Abiria tunajisikia raha kwa sababu hatusikii mawimbi wala mitikisiko ya kututia hofu. Yote hii ni kwa sababu ya uongozi imara wa Captain wetu DoubleM pamoja na crew wake mahiri wanaojituma kuhakikisha kila abiria anafurahia safari.

Nawashukuru kwa namna mnavyoongoza ndege hii kwa hekima, upendo na uvumilivu, kuhakikisha kila mmoja anafika anapokusudia bila matatizo. Bila nyinyi, safari hii isingekuwa yenye furaha na utulivu kama ilivyo sasa.

Ndugu abiria wenzangu, msisubiri mpaka ndege itue ndio mshukuru. “Shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” (1 Wathesalonike 5:18)

May the Lord watch over every passenger on this plane, and grant us a safe journey.

View attachment 3466043
Thanks to all
 
It is a curious exhibition of semantic shallowness that you would so unceremoniously brand as rubbish the sacred discipline of eucharistic acknowledgment, which in the hierarchy of virtues occupies an apex unsurpassed. To depreciate thanksgiving is not merely a lapse of civility, but a profound abdication of metaphysical sobriety, for the human spirit is never so ennobled as when it bows in reverent gratitude. The oracular injunction stands immovable: 'In everything give thanks; for this is the will of God in Christ Jesus for you' (1 Thessalonians 5:18). That which your tongue belittles as rubbish is, in fact, the immutable ordinance that dignifies mortality with eternal significance.
Rubbish.
 
Ramani nyingi za kale zilikuwa na makosa ya kijiografia; Israeli ipo Asia ya Kati, sio Afrika.
Na hizi zilizokosolewa juzi zipikuwa sahihi ?
Mido isti !!! Iko wapi Mido westi na Mido nothi ?

Tafuta eneo Moja la hapo kale lililofahamika Kama Mido isti utagundua sio huko walipokunadi ndio Mido isti.
 
Back
Top Bottom