Shukuruni JF siyo chombo cha KOBAZI ...kama sivyo zamani mngesha uzwa na waisiharamu kwa abdul na mafwele ...JF ingekuwa inamilikiwa na SAMEREKO ingekuwaje ? Mlisha wahi kujiuliza ilo swali ? Nikiwaambia watu hapa JF waislamu ni adui wa uzalendo wanabisha ....Safari yetu katika ndege hii ya "JF Airlines" inaendelea vyema mno. Abiria tunajisikia raha kwa sababu hatusikii mawimbi wala mitikisiko ya kututia hofu. Yote hii ni kwa sababu ya uongozi imara wa Captain wetu DoubleM pamoja na crew wake mahiri wanaojituma kuhakikisha kila abiria anafurahia safari.
Nawashukuru kwa namna mnavyoongoza ndege hii kwa hekima, upendo na uvumilivu, kuhakikisha kila mmoja anafika anapokusudia bila matatizo. Bila nyinyi, safari hii isingekuwa yenye furaha na utulivu kama ilivyo sasa.
Ndugu abiria wenzangu, msisubiri mpaka ndege itue ndio mshukuru. “Shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.” (1 Wathesalonike 5:18)
May the Lord watch over every passenger on this plane, and grant us a safe journey.
View attachment 3466043
Adui yetu ni mmoja tu: shetani. Huyo tukikutana naye ni wa kupewa kipigo cha mbwa koko. Lakini wanadamu wenzetu tunatakiwa kuwapenda kama jinsi tunavyozipenda nafsi zetuNikiwaambia watu hapa JF waislamu ni adui wa uzalendo wanabisha ....
Shetati siyo jambo au kitu moja ni mambo mengiAdui yetu ni mmoja tu: shetani. Huyo tukikutana naye ni wa kupewa kipigo cha mbwa koko. Lakini wanadamu wenzetu tunatakiwa kuwapenda kama jinsi tunavyozipenda nafsi zetu
Wazo au nia ovu ni shetanishetani ni kiumbe, ni roho chafu. Sio jambo wala sio kitu
Uje uombe msamaha kwa kile unachohubiri toka kwenye Bible iliyotafsiriwa na kupandikizwa uhuni mwingi.Watch out for people like this—those who refuse to give thanks, for in this cabin of life, ingratitude is the turbulence that can shake one off the will of God
NahJe Mungu anakufa ?
Rubbish.Hakuna kazi nzuri zaidi ya hii ya kuikata minyororo ambayo shetani amewafunga watu