Asanteni sana Pilot na Crew wa JamiiForums

Asanteni sana Pilot na Crew wa JamiiForums

Leo kulikuwa na machafuko angani, haki ya hewa siyo salama sana
 
Mnauhakika akiwahiwa atapona kweli?
 
Naona kuna tweet Kule Twitter ya kilichotokea... Anyway

Mungu awe nanyi vijana, muwape ushirikiano wanapowahitaji...
 
Hakika mimi na my co-founder wa Jf Melo, twapaswa kupongezwa.
 
Back
Top Bottom