MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Ikitokea Simba SC yangu ikashinda au hata tu kutoka Sare / Suluhu na RS Berkane Keshokutwa ( Jumamosi ) nitakuwa ni mwenye Furaha Kubwa kwani Lengo letu Kuu litakuwa limetimia hasa kwa Mechi za Ugenini ( Away )
Hata hivyo nisiwe Mnafiki au Muongo kwa wale Wabobezi wa Communication Psychology na hata kusoma vyema tu Body Language ya Watu ukimsikiliza na kumtizama Msemaji Ally, Kocha Msaidizi Matola na CEO Gonzalez wakiwa wanafanya Interviews zao juu ya Maandalizi ya Mechi yetu ngumu ya Jumamosi ( Keshokutwa ) na RS Berkane tayari ukijipngeza utajua kuwa kwa 95% Kipigo / Kichapo kinatuhusu.
Kocha Msaidizi Matola akiongea anatetemeka na baridi huku Barafu zikiganda na zingine Kupasukia katika ( Para lake ) Kipara chake kama Ugali, ukimsikiliza CEO Gonzalez akiongea Mdomo unatetema Kimayelemayele kwa baridi na kama umemsikiliza Msemaji Ally jioni ya leo ndiyo balaa kabisa kwani alikuwa anaongea huku Mafua yamembana, Kamasi zinamdondoka, anakphoa huku akitaka Kulia na Kutia mno Huruma.
Na Watatu Wote hawa Wakihojiwa wanalalamika kuhusu baridi Kali lililoko huko nchini Morocco hasa katika Mji wa Berkane utakaochezewa Mechi husika Kitu ambacho kimenipa sana Mashaka juu ya Afya za Wachezaji wa Simba SC na kama kweli wataweza Kuihimili na Kukabiliana vyema na Mechi hiyo.
Tayari nimeshaanza Kukihisi Kipigo tu!!
Hata hivyo nisiwe Mnafiki au Muongo kwa wale Wabobezi wa Communication Psychology na hata kusoma vyema tu Body Language ya Watu ukimsikiliza na kumtizama Msemaji Ally, Kocha Msaidizi Matola na CEO Gonzalez wakiwa wanafanya Interviews zao juu ya Maandalizi ya Mechi yetu ngumu ya Jumamosi ( Keshokutwa ) na RS Berkane tayari ukijipngeza utajua kuwa kwa 95% Kipigo / Kichapo kinatuhusu.
Kocha Msaidizi Matola akiongea anatetemeka na baridi huku Barafu zikiganda na zingine Kupasukia katika ( Para lake ) Kipara chake kama Ugali, ukimsikiliza CEO Gonzalez akiongea Mdomo unatetema Kimayelemayele kwa baridi na kama umemsikiliza Msemaji Ally jioni ya leo ndiyo balaa kabisa kwani alikuwa anaongea huku Mafua yamembana, Kamasi zinamdondoka, anakphoa huku akitaka Kulia na Kutia mno Huruma.
Na Watatu Wote hawa Wakihojiwa wanalalamika kuhusu baridi Kali lililoko huko nchini Morocco hasa katika Mji wa Berkane utakaochezewa Mechi husika Kitu ambacho kimenipa sana Mashaka juu ya Afya za Wachezaji wa Simba SC na kama kweli wataweza Kuihimili na Kukabiliana vyema na Mechi hiyo.
Tayari nimeshaanza Kukihisi Kipigo tu!!