Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
- Thread starter
- #41
Du povu lote hilo la nini?Mleta mada ni ushamba na uzuzu tu umemjaa
Mtu wa Chato mwenzako alikwambia acha mavi yaki nyumbani!!!
Du povu lote hilo la nini?Mleta mada ni ushamba na uzuzu tu umemjaa
Mkuu vipi ile barabara inayoelekea lutengano kutokea pale Kyimbila(kama nakumbuka jina vizuri) imepigwa lami? maana nimetoka huko mara ya mwisho 1992.Yaani Gwakisa umeandika upupu tu.badala ya kuonyesha ujio wa Pm kuwa umezaa hiki na kile...wewe lengo lako ni vingola au suti za wageni. Yaani mtu wa Tukuyu unandika vitu cheap kama unaishi nchi ya kusadika?
Barabara za mwakaleli katumba; Lwangwa_ tukuyu, barabara za kuunga ile je- kyela na tkuyu zikiwa zenye hali mbaya had wananchi kutumia kitepu tepu kuvuka mito mikubwa. Pm hajaziongelea ila wewe unamshukuru. Wewe ni msomi uliokombolewa kweli??
Haya ndiyo mambo anatakiwa Waziri Mkuu aje aone.Mkuu vipi ile barabara inayoelekea lutengano kutokea pale Kyimbila(kama nakumbuka jina vizuri) imepigwa lami? maana nimetoka huko mara ya mwisho 1992.
Njombe alitatua ile kero ya raisi magufuli kuumwa, akasema raisi ni mzima anahapa kazi ikuluHakuna popote alipotembelea Majaliwa alipowahi kutatua kero , alipokuja kyela kuzindua meli akazitia gundu hadi leo
Toka 1992 hujaenda..kule ni kwenu ama ulienda kusoma.?Mkuu vipi ile barabara inayoelekea lutengano kutokea pale Kyimbila(kama nakumbuka jina vizuri) imepigwa lami? maana nimetoka huko mara ya mwisho 1992.
Nilienda kusomaToka 1992 hujaenda..kule ni kwenu ama ulienda kusoma.?
Aisee kwani si niwajibu wake, au alikuja KWa nauli yake kutoa mfukoni,? Kama sivyo asante za nini ,Hamnaga ya kuandika?Waziri Mkuu asante kwa kuwa mgeni wetu, Mbeya.
Mgeni akikutembelea lazima watoto watapona.
Mara ya mwisho Kassim Majaliwa kuja Tukuyu tunakumbuka sana, ilikuwa kuiwakilisha serikali wakati ule alipouwawa John Mwankenja, Mwenyekiti wa CCM Rungwe.
Kassim Majaliwa wakati huo alikuwa Waziri Mdogo TAMISEMI.
Hatutaisahsu faraja aliyoitoa wakati ule.
Lakini zito zaidi ni Waziri Mkuu kuvunja "taboo" ya viongozi wa serikali kutoitembelea Mbeya kwa muda mrefu.
Sisi wananchi tunapata faraja katika hili la kuanza kutembelewa na viongozi wa juu kiserikali.
Mungu awabariki.
haikusaidii kituWaziri Mkuu asante kwa kuwa mgeni wetu, Mbeya.
Mgeni akikutembelea lazima watoto watapona.
Mara ya mwisho Kassim Majaliwa kuja Tukuyu tunakumbuka sana, ilikuwa kuiwakilisha serikali wakati ule alipouwawa John Mwankenja, Mwenyekiti wa CCM Rungwe.
Kassim Majaliwa wakati huo alikuwa Waziri Mdogo TAMISEMI.
Hatutaisahsu faraja aliyoitoa wakati ule.
Lakini zito zaidi ni Waziri Mkuu kuvunja "taboo" ya viongozi wa serikali kutoitembelea Mbeya kwa muda mrefu.
Sisi wananchi tunapata faraja katika hili la kuanza kutembelewa na viongozi wa juu kiserikali.
Mungu awabariki.
Hust watch this space.haikusaidii kitu
Mwendazake alikuja Mbeya mara ngapi?Aisee kwani si niwajibu wake, au alikuja KWa nauli yake kutoa mfukoni,? Kama sivyo asante za nini ,Hamnaga ya kuandika?
Itamsaidia yule ambaye kiatu kinabana.haikusaidii kitu
waziri mkuu analegeza viatu?Itamsaidia yule ambaye kiatu kinabana.
Wewe uko kamili tatizo lako nini?