PostGE2025 Asante sana Mzee Warioba, umeongea kile ambacho CCM imeshindwa kuongea

PostGE2025 Asante sana Mzee Warioba, umeongea kile ambacho CCM imeshindwa kuongea

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Mzee Warioba ameongea mengi ambayo sasa yamenukuliwa mitandaoni
Aliyoongea CCM ya sasa haina ubavu wa kuyaongea kwa vile sasa CCM si chama cha wananchi, bali viongozi ambao hawafai kuitwa viongozi.
Dondoo muhimu
  • Serikali inahusika na mauaji
  • Waliouwawa ni wengi hata kuliko waliouwawa vita ya Kagera
  • Vyombo vya ulinzi na usalama vimeingizwa uchawa wa kisiasa
  • Polisi ndio wasemaji wakuu wa serikal, badala ya utashi wa kisiasa (CCM iko silent mode)
  • Kuna mgawayiko mkubwa katika vyombo vya dola hasa vya ulinzi na usalama, kila kiongozi wa vyombo hivyo analinda maslahi yake badala ya Taifa
  • Watu wanatekwa kwa kusema ukweli, jambo la hovyo kabisa(H. Polepole)
  • Upinzani sasa hivi ni uhaini
  • Umoja wa kitaifa umo hatarini katika mazingira yaliyopo
  • Uchaguzi ulikuwa na kasoro ambazo hata mjinga anaweza kusema si kwa maslahi ya Taifa.
Kwa mazingira haya yote, mimi Jidu nadiriki kusema tuna serikali in total disarray, ambayo hata kesho haina utashi wa kuelewa itakuwaje.

CCM haijatoa tamko lolote juu ya sintofahamu iliyopo,
Kikwete yuko kimya utafikiri hayupo

Asante Mzee Warioba kwa kuita a spade, a spade.
Screenshot_20251129-214516~2.png
 
Hata kama reforms zingebana masilahi yao ni bora wangefanya kipindi kile maana changamoto ilikua ni ufisadi walioufanya tu, sasa wamejiongeza tatizo, safari hii wana hatia ya mauji pia
Hatia ya mauaji haiishi hata ukistaafu,
Pinochet wa Chile alishtakiwa uzeeni baada ya kustaafu.
 
Mzee Warioba ameongea mengi ambayo sasa yamenukuliwa mitandaoni
Aliyoongea CCM ya sasa haina ubavu wa kuyaongea kwa vile sasa CCM si chama cha wananchi, bali viongozi ambao hawafai kuitwa viongozi.
Dondoo muhimu
  • Serikali inahusika na mauaji
  • Waliouwawa ni wengi hata kuliko waliouwawa vita ya Kagera
  • Vyombo vya ulinzi na usalama vimeingizwa uchawa wa kisiasa
  • Polisi ndio wasemaji wakuu wa serikal, badala ya utashi wa kisiasa (CCM iko silent mode)
  • Kuna mgawayiko mkubwa katika vyombo vya dola hasa vya ulinzi na usalama, kila kiongozi wa vyombo hivyo analinda maslahi yake badala ya Taifa
  • Watu wanatekwa kwa kusema ukweli, jambo la hovyo kabisa(H. Polepole)
  • Upinzani sasa hivi ni uhaini
  • Umoja wa kitaifa umo hatarini katika mazingira yaliyopo
  • Uchaguzi ulikuwa na kasoro ambazo hata mjinga anaweza kusema si kwa maslahi ya Taifa.
Kwa mazingira haya yote, mimi Jidu nadiriki kusema tuna serikali in total disarray, ambayo hata kesho haina utashi wa kuelewa itakuwaje.

CCM haijatoa tamko lolote juu ya sintofahamu iliyopo,
Kikwete yuko kimya utafikiri hayupo

Asante Mzee Warioba kwa kuita a spade, a spade.
Sasa hivi CCM si chama cha wananchi tena, ni genge la mtandao.
 
Back
Top Bottom