Hujui pesa ya ESCROW alichota nani? Je, ulishaona Rais mstaafu hapa Tanzania akipelekwa jela? Sana sana tulimuona Mkapa akitoa ushahidi tu. Abarikiwe JK kwa kuingiza fedha mitaani na kuwaponza akina Seth na RugemalilaView attachment 1812108
Wanabodi,
Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki"....