Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,423
Pole sana mkuu lady in action,
Wewe unadhani huwezi kuwa na furaha bila yeye kwa sababu ni LAW OF NATURE au ni kwa sababu tu umeamua iwe hivyo?
Wewe unadhani huwezi kuwa na furaha bila yeye kwa sababu ni LAW OF NATURE au ni kwa sababu tu umeamua iwe hivyo?
Bila samahani mkuu, wala hujadandia, you are welcome.
Hiyo LAW OF NATURE ndio kwamba wanawake wapo kwa ajili ya mapenzi na kuolewa tu, yaani ndio cha maana zaidi kwao kwa maneno mengine.
Naomba nifafanulie kidogo, unaposema LAW OF NATURE una maanisha nini?!
Imeandikwa wapi, kivipi na kwa nini?[/QUOT
dah!! hata mm nashangaa niliachana na x wangu niliona hakuna maisha mengine bila yeye sikutamani kuishi nashukuru JF nilipata moyo japo sidhan kama nitakuja kuwa na furaha bila yeye
Last edited by a moderator: