Imebidi nisubilie page ya 5 kama Le Mutuz, mpaka dakika hii chenga.
Tena naombea Kiranga asitokee hapa ndio atanizidishia chenga na Deus Ex Machina.hongera kwa kuielewa thread,
mi bado nang'aa sharubu.
Kuna mtu 'dear ex' na 'boyfriend'
em pima mizani hapo.
Matola mwenyewe hajaelewa.
kiazi ni mtoa mada,, samahani pia.
Mdogo wangu kati ya wasichana ninaowafahamu vizuri ni pamoja na wewe! Mtoto mrembo, mweusi si mweusi, mwembamba wa wastani, mrefu, mwili umekatika kiaina kama wa nyigu, una degree ya kutoka udsm, nusu mmasai nusu mchagga, unalilia kisa huyo zezeta amemwambia bf wako ungo! Wote hao unaowang'ang'ania mie nawajua vizuri, nashindwa kuelewa kwa nini unataka kuangukia pua kutoka juu ya mkaratusi hivi hivi unajiona mchana kweupe! Nitafute nikupe data.
To women it's very sensitive.Life is too good to entertain suicidal ideations just because of an old flame.
Mimi tu naomba unijibu hili swali;samahani members sitaweza kujibu one reply after another
i love you all,
Mimi tu naomba unijibu hili swali;
Hivi ni kwa nini wanawake hata uwe na elimu kiasi gani, cha muhimu kwako ni mapenzi na kuolewa tu.., hili ni kwa nini?
pole masai dada ila take care usije ukachukua maamuzi mabaya wote waliopo humu wahanga wa mapenzi (me excluded) na wameweza ku survive kiubishi why not you? relax utampata akupendae kwa dhati
.......Kiongozi una roho ngumu sana. Unataka uonane nae umpe hizo data zako kisha yeye akiziona ni taarifa za kizushi anakuja kukutangaza na kukuandikia mashairi kama huyo Dear Ex wake.
Life is too good to entertain suicidal ideations just because of an old flame.
Nadhani hujaelewa, nilichogundua mimi, wanawake wanathamini mno mapenzi na kuolewa, kuliko kitu kingine chochote, bila kujali huyo mwanamke ana elimu kiasi gani, hii ni kwa nini?, ndicho nilicho uliza!!Mkubwa usifiche maneneno,, mabinti hutaka kuzimiliki m.*boo zetu ilhali sie twakuta k.@ma zao overused. PERIOD.
Huyo current ambae amekuacha na huyo ex wote ni viazi cherema vyenye funza. Mwanaume gani anatoka na wewe halafu anakaa na ex wako kukujadili? Woooi, temana na maponjoro hayo. You are so lucky wamejipambanua kwako
Nadhani hujaelewa, nilichogundua mimi, wanawake wanathamini mno mapenzi na kuolewa, kuliko kitu kingine chochote, bila kujali huyo mwanamke ana elimu kiasi gani, hii ni kwa nini?, ndicho nilicho uliza!!
kiazi ni mtoa mada,, samahani pia.
Mdogo wangu kati ya wasichana ninaowafahamu vizuri ni pamoja na wewe! Mtoto mrembo, mweusi si mweusi, mwembamba wa wastani, mrefu, mwili umekatika kiaina kama wa nyigu, una degree ya kutoka udsm, nusu mmasai nusu mchagga, unalilia kisa huyo zezeta amemwambia bf wako ungo! Wote hao unaowang'ang'ania mie nawajua vizuri, nashindwa kuelewa kwa nini unataka kuangukia pua kutoka juu ya mkaratusi hivi hivi unajiona mchana kweupe! Nitafute nikupe data.