Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
may be uzuri wangu ndo unanikost simjui anaenitamani na anaenipenda
kidin.........
Aisee....
may be uzuri wangu ndo unanikost simjui anaenitamani na anaenipenda
kidin.........
Aisee....
Naona kakonfesi kuwa si yeye. Haya la pole maisha lazima yaende mbele no matter or what
Mmh!Baadhi ya wanaume ni vichomi hunitaki si uniache tu. Unatengeneza strori tena ya ya kunitengenezea uhasama na mtu mwingine ambae nishamsahau ili iweje? Kuna kisa kiliwahi kunitokea cha staili hii japo tofauti kidogo.
Ukimchoka mtu na huna sababu ya msingi mwambie tu kuliko kupika hadithi za kupika Rica.
kwanini mapenz yamekua tatizo kwa watu kiasi hiki mbona kwa wazazi wetu zamani haikua hivi tumekosea wapi?kwanini leo tunaona ufahar kusalitiana kiasi hichi?ee mungu tunusuru
masai dada pole sana cha msing amini kua mumeo bado hajafika na kila binadam kashapangiwa wakuish nae na kama hajafika fanya ufanyalo lazima haya yatokee muhim kuyasahau na kuanza maisha mapia kama vile hukuwah kua naye hapo mwanzo japo nayajua maumivu yake hususan hiz siku za kwanza ni magumu ila pia hupita piga got muimbe mungu akuonyeshe wako sasa
Eeeeeh,kweli akili ni nywele
nashukuru sana ndugu
nimekwisha samehe
Huyo mpenzi mpya angekuwa anakupenda kweli asingesikiliza maneno ya huyo ex wako.Na bora wote mmeachana nao maana wote wambea kwa kuanza kukaa na kukujadili wewe bora mmeachana
Umeona eh? ole wako unifungulie thread my dear ex.
unaongea na simu auNimevumilia sana mpaka nikatamani jf nisiingie tena ila leo umenifanya nilie kama ile siku nilivyoachwa na boyfriend wangu baada ya wewe kumwambia uliyomwambia.
Pamoja na ukorofi wangu Dear ex wewe ndo ulikuwa wa kwanza kuwa na mwanamke nje na nilikuta msg zako na ndo ukorofi ulianzia hapo.
Dear ex nilikueleza sababu ya kwenda kule ni kwasababu vitu vilivyoibiwa havikuwa vyangu na nilipelekwa na mwenye navyo kwamba kama nimeficha basi ile yamini inirudie mimi.
Dear ex nilikuambia i did so sababu nilikua masomoni.nilikataliwa
why umpe boyfriend wangu information za uongo why
niliachana na wewe baada ya kukuta unawasiliana na yule mwanamke wa kwanza kuhusu jinsi ya wewe kwenda kujitambulisha kwao nilipanik na nilikutisha lakini baadae nilikwambia its nothing nikatulia na namba nikabadili.
Dear ex nadhan wiki chache zilizopita ulikua chanzo cha mimi kuachwa kwa machungu na boyfriend wangu ambaye kiukweli sijampenda kwa kigezo chochote nimempenda jinsi alivyo.
sitaki kusema udhaifu wako hapa lakini kwanini umuambie ya kwangu na mengi uliyosema ni ya uongo hasa la leo lililofanya niandike waraka huu.
nilitamani kujiua hii yote ni kwa sababu yako dear ex,
nashukuluru kwa kufanya niliyekua nadhani nitalala nae njaa na kutembea nae juani mpaka kifo kitutenganishe na yeye sasa hivi ni DEAR EX.