hill and portion
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 1,236
- 744
poleee sana mdada only time will heal your pain
Samahani saana Masai dada, nilikuwa kijijini ndo naingia mjini na kuona uzi wako.
Lakini nataka nikanushe kwamba simjui boyfriend wako,sijawahi kuwasiliana nae na hayo aliyokwambia akwambie kayatoa wapi.
Pili naomba huyo boyfriend wako aache tabia ya kusingizia watu, kama alitaka kukuacha angetumia mbinu nyingine sio kusema hoja zisizokuwa na mashiko na kukuchafua.
Mwisho kwakua umenilaumu sana humu jukwaani niombe msamaha na kunisafisha hapahapa sababu.nimesema sihusiki.
Tulipendana, tukaja kutofautiana, kila mtu akawa na maisha mengine, basi naomba tuishi kwa amani.
My take, Tulia, usifanye maamuzi ukiwa na hasira, punguza jazba, utampata mtu anayekuataili.
May dear Ex Masai dada TRUST YOURSELF UR A GOOD GIRL.
Samahani saana Masai dada, nilikuwa kijijini ndo naingia mjini na kuona uzi wako.
Lakini nataka nikanushe kwamba simjui boyfriend wako,sijawahi kuwasiliana nae na hayo aliyokwambia akwambie kayatoa wapi.
Pili naomba huyo boyfriend wako aache tabia ya kusingizia watu, kama alitaka kukuacha angetumia mbinu nyingine sio kusema hoja zisizokuwa na mashiko na kukuchafua.
Mwisho kwakua umenilaumu sana humu jukwaani niombe msamaha na kunisafisha hapahapa sababu.nimesema sihusiki.
Tulipendana, tukaja kutofautiana, kila mtu akawa na maisha mengine, basi naomba tuishi kwa amani.
My take, Tulia, usifanye maamuzi ukiwa na hasira, punguza jazba, utampata mtu anayekuataili.
May dear Ex Masai dada TRUST YOURSELF UR A GOOD GIRL.
Pole mwaya, yatapita tu
DEAR X ni member wa Jf ama????
bora uamuzi wa kujiua ulikupita pembeni
masai dada, mbona umeanza katikati. Naomba #flashback basi..!
Life is too good to entertain suicidal ideations just because of an old flame.
Pole sana ila mh!!!!!!asante my dear ila sitakaa nisahau mpaka naingia kaburini
japo nime,samehe ila nimepata lesson kubwa sana
usimpende mtu akajua kabisa itakukost
Huyo mpenzi mpya angekuwa anakupenda kweli asingesikiliza maneno ya huyo ex wako.Na bora wote mmeachana nao maana wote wambea kwa kuanza kukaa na kukujadili wewe bora mmeachana
Huyo mpenzi mpya angekuwa anakupenda kweli asingesikiliza maneno ya huyo ex wako.Na bora wote mmeachana nao maana wote wambea kwa kuanza kukaa na kukujadili wewe bora mmeachana
Mimi ndo Dear Ex, siwezi kuyaelezea yote hapa yaliyotokea ila My Ex anajua. Na ndio maana kwa uelewa wake kampa Id yangu ananitafuta coz tuliachana for good. Huyo boy wake wa sasa ni muongo coz sijawahi wasiliana nae na simjui.
My Ex com down, punguza jazba, usikurupuke coz watu watakutumia vibaya ukifanya maamuzi kwa hasira.
I knw nothing about your Ex
Mimi ndo Dear Ex, siwezi kuyaelezea yote hapa yaliyotokea ila My Ex anajua. Na ndio maana kwa uelewa wake kampa Id yangu ananitafuta coz tuliachana for good. Huyo boy wake wa sasa ni muongo coz sijawahi wasiliana nae na simjui.
My Ex com down, punguza jazba, usikurupuke coz watu watakutumia vibaya ukifanya maamuzi kwa hasira.
I knw nothing about your Ex
hapana mmmoja kakana kasema hakuse,a chochote mpaka sasa nipo kati hata sielewi lolote but i thank God am over it mamii
Time heals almost everything my dia usijali utakuwa poa tu atleast umejua bado mapema kuliko angekuacha uzame then ndio aanzishe hizo drama