Asante mpenzi wangu wa zamani

Asante mpenzi wangu wa zamani

Hivi kuna wanaume wambeya namna hii? yaani mwanaume mzima unatafuta simu ya boyfriend wa ex wako ili umpe umbeya..damn! Hizo ndio zinaitwa fikira mgando!

Wanaume kama hao lazima waishie kuwa waganga wa kienyeji..
Msimponde sana jamaa unajua Mapenz yanahusisha MOYO nahapa tumepata Stori ya upande mmoja tu hatujui huyu masai kamfanyaje huyo ex wake hadi kufikia hatua nayy kumwaga mboga kumbuka hawa watu kwa maelezo yake waliachana na kila mtu alikamata mzigo mwingine sasa iweje leo waharibiane ,,,,,,Mapenz hayanaga mshauri
 
wavulana ni wengi kuliko wanaume siku hizi mamiii.. anataka uyo x aachwe alafu ye achukue nafasi yake nadhani...
Wavulana ndio vijana eeeh!!
Sawasawa, kwa mujibu wa sensa kama sikosei, vijana ni asilimia 60 ya watanzania wote.
 
Asili ya uumbaji wa MUNGU mwanamke hata awe RAIS km hana mwanaume anapungua,,,!
Kumbe ni asili ya uumbaji wa Mungu, I see, kwa hiyo hili lipo kwenye maandiko?
Na ni kwa upande wa wanawake tu au hata mwanaume nae kama hana mke anapungua?
 
Nimefurahi kusikia hivyo na kuona uwepo wako.....!

Haya....! Msalimie sn Nkwela....!

Sie wazima kabisa. ..pilika za maisha tu sezae...

Nipo wii.pilika tu


Unaweza...ila sie twapenda ya baba mama waliooana na watoto...Inapendeza
 
Huna lolote labda unataka kummwagia sera zako

Mwuulize mwenyewe kama mie namfahamu au simfahamu halafu urudi hapa kutuambia. Na nahisi baadhi ya ID's zilizocomment humu ni .................
 
Sie wazima kabisa. ..pilika za maisha tu sezae...

Nipo wii.pilika tu


Unaweza...ila sie twapenda ya baba mama waliooana na watoto...Inapendeza
Sawa, lakini huoni kuwa kuliweka hilo kama top priority(kipaumbele kikuu)is just aiming too low?!

Hivi ni kweli hakuna maisha mengine ya maana zaidi ya mapenzi na kuolewa?, cant we tune our focus on something else?
Maana kama mtu nafikia hatua ya kufikiria kujiua anasugest kuwa hakuna kingine cha maana tena, angu ilumbuye, gwangh'ana ugwenugu?
(sorry kwa kiswanglish)
 
Sawa, lakini huoni kuwa kuliweka hilo kama top priority(kipaumbele kikuu)is just aiming too low?!

Hivi ni kweli hakuna maisha mengine ya maana zaidi ya mapenzi na kuolewa?, cant we tune our focus on something else?
Maana kama mtu nafikia hatua ya kufikiria kujiua anasugest kuwa hakuna kingine cha maana tena, angu ilumbuye, gwangh'ana ugwenugu?
(sorry kwa kiswanglish)

We don't want 'something else'....Every one has somethings s/he loves...heartbreak is the price we pay fornit kama visipokuja vile tunataka vije...mtoa mada hatojiua...anapitia wakati mgumu tu lakini atakuwa poa
 
asanteni sana kwa michango yenu hakika nimepata nguvu sana.


namuombea Dear ex aishi miaka mingi aje agundundue alilonifanyia sikustahili


thank you Dear ex.
 
nina mashaka na rafk yangu wahumu ndani kafanya yake
 
Sorry kwa kudandia....its a LAW OF NATURE.....
Bila samahani mkuu, wala hujadandia, you are welcome.

Hiyo LAW OF NATURE ndio kwamba wanawake wapo kwa ajili ya mapenzi na kuolewa tu, yaani ndio cha maana zaidi kwao kwa maneno mengine.

Naomba nifafanulie kidogo, unaposema LAW OF NATURE una maanisha nini?!
Imeandikwa wapi, kivipi na kwa nini?
 
We don't want 'something else'....Every one has somethings s/he loves...heartbreak is the price we pay fornit kama visipokuja vile tunataka vije...mtoa mada hatojiua...anapitia wakati mgumu tu lakini atakuwa poa
"you dont want something else" apart from love and marriege, am I right?
 
Bila samahani mkuu, wala hujadandia, you are welcome.

Hiyo LAW OF NATURE ndio kwamba wanawake wapo kwa ajili ya mapenzi na kuolewa tu, yaani ndio cha maana zaidi kwao kwa maneno mengine.

Naomba nifafanulie kidogo, unaposema LAW OF NATURE una maanisha nini?!
Imeandikwa wapi, kivipi na kwa nini?[/QUOT

dah!! hata mm nashangaa niliachana na x wangu niliona hakuna maisha mengine bila yeye sikutamani kuishi nashukuru JF nilipata moyo japo sidhan kama nitakuja kuwa na furaha bila yeye
 
dah!! hata mm nashangaa niliachana na x wangu niliona hakuna maisha mengine bila yeye sikutamani kuishi nashukuru JF nilipata moyo japo sidhan kama nitakuja kuwa na furaha bila yeye

Hayo ni matokeo ya kutehemeza furaha yako kwa mtu mwingine. Huwa nashangaa mtu akisema hivi. Love conditionally..hutapata shida..!
 
Back
Top Bottom