Beesmom JF-Expert Member May 30, 2016 17,221 28,666 Aug 26, 2017 #181 we,usijiumize kwa ajili ya wanaume.Akienda mwache.Nikuzae mimi ujiue kwa ajili ya mpumbavu mliyekutana ukubwani.Sitaki,sipendi
we,usijiumize kwa ajili ya wanaume.Akienda mwache.Nikuzae mimi ujiue kwa ajili ya mpumbavu mliyekutana ukubwani.Sitaki,sipendi
EMMYGUY JF-Expert Member Aug 6, 2015 10,860 24,838 Aug 26, 2017 #182 Bado kuna mtu analilia mapenzi kwa zama hizi!!??? Bwt pole ila kikubwa jifunze.
i-77 JF-Expert Member May 23, 2015 724 806 Aug 27, 2017 #183 Heaven on Earth said: DEAR X ni member wa Jf ama???? bora uamuzi wa kujiua ulikupita pembeni Click to expand... Imebid niingize hilo jina DEAR X jf nmesearch wap sijaona member mwenye hilo jina yan
Heaven on Earth said: DEAR X ni member wa Jf ama???? bora uamuzi wa kujiua ulikupita pembeni Click to expand... Imebid niingize hilo jina DEAR X jf nmesearch wap sijaona member mwenye hilo jina yan