Mtoa mada akiendelea kumlilia huyu dear ex atakuwa mmasai. Mwanamke kuwa kiazi ni sifa eti. Mie hapa ni kiazi kitamu ila sio cherema
Hahahaaaa, mie pia excluded.
Niwie radhi mkuu kama nimesababisha ujae povu, haikuwa dhamira yangu kukukwaza, nilikuwa nauliza tu..nimeshindwa kuandika maana mdomoni nimejaa povu.. ngoja nilale
Nilichoelewa hapa ni 'dear ex'.
Hhhhhhaaaaaaaaaaa
Kwa nini unadhani wanaume ni mambulula tu..?na tena wapite hivii kwa speed ya light. If someone cant do his/her part, he/she dont deserve your heart mae.. hao ma X wamenikera mnoo.n dume zima unakaaje kuanza kujadili mambo yakipuuzi kama hayo??? tena akae kama hawajui vile, move on na don't look back unless there is an attractive stranger behind your back.. wanaume ni.mambulula tu.. usi invest sana kwenye mapenzi utaumia mnoooo. penda kwa afya mengine acha yatajifanya yenyewe...
Mdogo wangu kati ya wasichana ninaowafahamu vizuri ni pamoja na wewe! Mtoto mrembo, mweusi si mweusi, mwembamba wa wastani, mrefu, mwili umekatika kiaina kama wa nyigu, una degree ya kutoka udsm, nusu mmasai nusu mchagga, unalilia kisa huyo zezeta amemwambia bf wako ungo! Wote hao unaowang'ang'ania mie nawajua vizuri, nashindwa kuelewa kwa nini unataka kuangukia pua kutoka juu ya mkaratusi hivi hivi unajiona mchana kweupe! Nitafute nikupe data.
Mimi tu naomba unijibu hili swali;
Hivi ni kwa nini wanawake hata uwe na elimu kiasi gani, cha muhimu kwako ni mapenzi na kuolewa tu.., hili ni kwa nini?
Likuepukalo lina heri nawe....
Huna lolote labda unataka kummwagia sera zako
Usikose press conference hahaaa
samahani members sitaweza kujibu one reply after another
i love you all,
Naona na wewe unataka kuwa kamma dear x
wote wazima nani alikuficha?
jambo moja la msingi ni kwamba mwanaume siyo oxygen unaweza kuishi bila mwaume wako bado hajaja hao ni wapita njia tu,Nakuomba wanaume usije kuwapa moyo wako watakuuwa siku wakianza maswaibu yao ila wape nywele wakikutibua unazinyoa zinaota zingine kamwe usimpe moyo mwanaume.