Kila mtu anakuja kivyake Lissu anadai Dr.Slaa ndio mtu aliepitishwa na kikao kikuu cha CDM na Dr.Slaa ameligusia hili vilevile.
Leo tena Mbowe naye anasema Lowassa formal processes hizo hizo za chama zilimpitisha. Kwa utaratibu huo inawezekana vipi kikao cha pili tena kimteue mwengine bila ya ridhaa ya Dr.Slaa kuafiki kuachia kwanza au vinginevyo kutumia mabavu kumwambia aachie nafasi the latter makes sense. Ongezea na shabiki Mbatia naye all of a sudden anaijua katiba ya CDM na kutetea kuteuliwa kwa Lowassa na kamati kuu na kuenguliwa kwa Dr.Slaa.
Inasikitisha watanzania wanavyoweza chezewa akili kirahisi sana, hawa jamaa (CDM) walikuwa wanasubiri Lowassa akatwe kwanza na CCM kwa sababu zao wenyewe, lakini Lowassa huyohuyo ajatokea mbinguni kuingia CDM alikuwa na dhamira ya kugombea kupitia CCM kwanza na atakuwa anasababu zake binafsi za kuutaka uraisi.
Leo tena CDM inawaaminisha wafuasi wake sababu za Lowassa zimebadilika kisa kaingia CDM, mtu ambae ni wazi huku ilikuwa kama backup plan kwenye strategy yake ya kugombea uraisi; in other words wakati CDM wanajianda kukatwa kwake isingetokea leo hii Lowassa huyu huyu angekuwa mgombea wa CCM ndio angekuwa anawapiga madongo na CDM wanamwita kila aina ya neno la mtu mbadhirifu (all this changed in a space of two weeks) jamani ata NARC muungamo wao aukuwa hivi agenda yao ilipangwa muda mrefu.
Tanzanians are gullible bunch of people (I always believed that anyway); I mean how stupid is all this even to defend ata kama unataka mabadiliko ndio haya kweli wakati ni wazi hawa jamaa ni wasanii tu.