Asante Mh. Mbowe!

Asante Mh. Mbowe!

Akihutubia malaki ya Watanzania Mjini Sumbawanga leo amejibu hoja dhaifu za Dk Slaa, Amesema CHADEMA siyo mali ya Dk Slaa, Mbowe au kiongozi yoyote yule, CHADEMA ni mali ya watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao. Haiwezekani mtu na mke wake wajifanye CHADEMA ni mali yao.

CHANZO: ITV habari saa 23 usku

Habari saa 23 usiku (saa 5?). Kwa hiyo badala ya kujibu hoja za msingi amejikita kwenye mipasho ya Slaa na mkewe? Na kama ni mali ya watanzania wote ni kwa nini basi sauti zao kwenye kura za maoni zimepuuzwa?
 
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.
Shikamooo mboweeee,Shikamooo lowassaaa,Shikamoooo kamati kuuu chadema,
Waondoke hao wote kura zetu tutapigia ata koko laembe lakini siyo vibaraka wa ccm kama wewe na ACT !
Chadema ili tupo kama alipo tulipo lowassa!
Wa Tanzania waleo hatudanganywi na Taraabu za mzee yusufu wa miziki ya bongo flavor
Pesa hazinunuwi utu wala heshima kutoka katika nafsi !
Bali zina nunuwa heshima ya uwongo!
 
Wewe Mwanakijiji, umeshaona clip ya Dr.Slaa Serena Hotel akiwa na wale wenzetu wa suti nyeusi au? Maana naona ni km unamwamini mtu kupita kiasi. Nilikuwa hivyo kwa Dr.hata mimi lakini baada ya hiyo clip ya CCTV camera, nimebaki mdomo wazi. Sijui lkn maana wengine watasema vingine km iko edited or whatever lkn wataalamu watatusaidia kujua ukweli juu ya yanayoendelea

Mimi mwenyewe Dr. alikuwa mfano wangu wa kipekee wa uadilifu Tanzania. Lakini hadi sasa nimeduwaa alivyoambatana na maadui zake wakuu (his mortal enemies) ili tu kupata fursa ya kutoa kero zake dhidi ya kina Mbowe. Hao waliombeba kwenye hiyo press conference hawako pamoja naye wala pamoja na Watanzania katika dhamira ya kusafisha uozo katika uongozi wa nchi. Ni ujira gani anaotarajia kuupata kwa kumtumikia "baniani" huyo?
 
MBOWF HEKOOO, MBOWE OYEEE, JAMANI MBOWE UNANIKOSHA WE ACHA TU, KIONGOZI MAKINI MWENYE MTAZAMO MZURI NA TAIFA HILI, Chadema Ni Mali Ya Watanzania Wote, Wasaliti Tuwakatae,
 
Akihutubia malaki ya Watanzania Mjini Sumbawanga leo amejibu hoja dhaifu za Dk Slaa, Amesema CHADEMA siyo mali ya Dk Slaa, Mbowe au kiongozi yoyote yule, CHADEMA ni mali ya watanzania wenye mapenzi mema na nchi yao. Haiwezekani mtu na mke wake wajifanye CHADEMA ni mali yao.

CHANZO: ITV habari saa 23 usku

likizo ya dr slaa alisema inaisha lini?
 
Lowassa katokea CCM kumbuka ambako kaonekana hafai na kaanza kampeni yake miaka mingi sana wao ndio wanayemjua vizuri zaidi kwanini hafai kutokana na makando makando yake na wanajua ana support vilevile kwakuwa amekuwa akitumia media na hela yake muda mrefu sana obvious anaingia na advantage tayari ya utambulisho fake kinyume na uhalisia wake.

Kama una akili timamu Lowassa na Magufuli yupi unaweza mtetea mahakamani kwa kulijali taifa lake, ningeelewa Magufuli kupambanishwa hata na Mbowe, Lissu, Lipumba, Slaa or any of them ambao wapinzani. Lakini huyu kweli leo wapinzani wakusema ndiyo raisi anaefaa hivi CCM wanavyotaka kubaki madarakani wangemtoa kweli kama ni ticket ya ushindi kirahisi.

Umejiuliza katiba ya CDM imewezekana vipi kuvunjwa kuengua uteuzi wa Dr.Slaa, wakati CCM wanapigana kuwaondoa mafisadi ndani kwao CDM wanawapokea na kuwaita mashujaa wa ukombozi; inataka uwe na mtindio wa akili kuamini huyu bwana kuwa fair amejaribu kununua nafasi CCM kashindwa, CDM wamenunulika maana Dr.Slaa tayari alikuwa mgombea wao au unataka kusema sababu ya Lowassa kupewa nafasi CDM ni kwa sababu ya his clean track record on public services.

Kwanini amuwaoni hawa watu for what they are opportunists tu Mbatia, Mbowe na sasa huyu Salum Mwalimu ni kama mtoto wa kisiasa Mbowe he never had mpaka alipotokea maana wote wamekaa kisanii sijaona.
Tatizo vijana wa ccm mmezowea maneno ya taraabu sana na maneno mengi ambayo hayana maana anayeweza kukuelewa ni zuzu wa Act au wa Ccm wa Tanzania tumesha amuwa hii vita ccm na vikundi venu ya bongo flavor hamtaweza wana nchi hatutaki mziki wala taraabu ata angefufuka mzee komba msimamo wetu upo palele no way ccm mshakufa mnanuka!
 
Sijawah kumskia mr zero kaongea facts so sishangai anajibu ----- badala ya facts
 
Mimi nilidhani baada ya kimya na research ndefu Slaa ataibuka na hoja ya maana, Kumbe ni yaleyale ya mwaka 47.

Alafu eti anashindia Muhogo!!!
 
kuna watu wanawaandaa na kuwaaminisha watu kuwa UKAWA watashinda Oktoba 25 kwa nafasi ya URAIS. Hii haiwezi kutokea. Magufuli atashinda kwa kati ya asilimia 66 na 78.

Lowassa atosha
 
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.

Usiyeamini ni wewe na maccm tu! Watz wa Leo hawawezi kupotoshwa na hizi cheap politics zako.Mabadiliko ni lazima October 25
 
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.

Kwanini slaa hakutaka demokrasia ndani ya chama..wengi kumkubali lowassa yeye anakimbia sio ukomavu..nini kilimpa nguvu ya kuamini kuwa ni mawazo yake tu ndio sahihi na yasikilizwe
 
Naona uko vitani na CHADEMA...Nakuhakikishia utafeli kama walivyofeli wengine

Mzee Mwanakijiji hayupo vitani anasema ukweli ambao kila mtu anaujua.. Angalia vizuri anzia viti maalum, Uenyekiti, wakurugenzi, na mambo mengine lukuki. Ingawa sikumsikia Dr. Slaa akisema hili lkn liko wazi kabisa huna haja ya kupiga ramli
 
Kama ccm wanaweza wamnunue mbowe ili tuwaelewe!!!!!


Si lengo ni kuiua chadema ili waendelee kuinyonya wao tuu nchi hii??

halafu hyu MzeeMwanakijiji anataka kutushika masikio na akili kisa anajiona ana brain kubwa na authority ya kutuambia tufanye nn??

NONSENSE!!!!!

Siasa haipambani na ukweli uujua the same as it's to love affairs, hauweze kuwa rational kupenda au kufanya mabadiliko ni swala la maamuzi tuu!!

Mabadiliko ya kisiasa yana sura nyingi, kwa Tanzania sasa watu tupo tayari kukabili THE FEAR OF UNKNOWN!!

Any change outside CCM is better than keeping CCM alive again!!!

I and my family will vote for LOWASA & UKAWA nchini!!!
 
Last edited by a moderator:
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.
Teh Teh eti nasikia Dr Slaa alikuahidi akiwa Rais angekurudisha nchini uwe una muandikia hotuba kwa hiyo umekasirika yeye kukatwa?
 
Back
Top Bottom