Asante Mh. Mbowe!

Asante Mh. Mbowe!

Hivi richmond ndo sababu ya umaskini wetu??? Mbona watu na akili zenu mmekomaa richmond richmond....mnakera sana wana jf
 
Teh Teh eti nasikia Dr Slaa alikuahidi akiwa Rais angekurudisha nchini uwe una muandikia hotuba kwa hiyo umekasirika yeye kukatwa?

Hahahaha teh teh teh,Mkuu Ritz kumbe na wewe ushamshtukia eeh,huyu Mzee alianza kuonge mbofu mbofu tangu ujio wa Lowasa Chadema/Ukawa sababu alijua ahadi yake aliyopewa na Dk Mihogo endapo angegombea Urais inaenda kufutika na inakula kwake mazima. Halafu leo hii anajifanya eti Chadema sio mali ya wanachama/wananchi. Alipokuwa anatoa nakala zake kwa umma kuishauri Chadema kwanini hizo nakala asingezipeleka moja kwa moja kwa huyo mmiliki wa Chadema anaemfahamu yeye. Mwaka huu tunashudia mengi sana na mbaya zaidi ni wale watu tuliokuwa tunawaheshimu kwenye jamii wanavyojidhalilisha kirahisi namna hii.
 
Kwa bahati nzuri, hata upinzani wawe na udhaifu mkubwa kiasi gani, nitabaki upinzani kuliko kuirejesha CCM madarakani. pole kwa unafiki wako Slaa, huku kwetu umepuuzwa.
 
ID za joined Joined July,August 2015 ??????????
 
ajibu hoja zilizotolewa na dr na sio kutuletea habari za yeye na mkeo
 
Naona uko vitani na CHADEMA...Nakuhakikishia utafeli kama walivyofeli wengine

Mkuu huyu Mzee Mwanakijiji toka wakati ule Slaa anakwenda Marekani na kufanya mahojiano naye mara kwa mara inaonyesha Slaa huku akiwa na uhakika wa kuwa Rais kupitia Chadema alipewa ahadi ya cheo fulani. Hii kasi yake ya kupambana na Chadema tokea Slaa akose mwelekeo wa kuteuliwa na chama inadhihirisha hayo.
Kwa hiyo ni wa kuwapuuza tuu, Chadema ni chama cha wananchi wa Tanzania ndio maana hata watawala wanakiogopa. Kingekuwa chama cha mtu au watu wachache serikali ingeshindwa kuwadhibiti? Ingewanunua kama alivyonunuliwa Slaa na kuandaliwa mkutano kwa gharama za serikali huku akipewa nyaraka na mawaziri.
 
Last edited by a moderator:
Mbowe tatizo lake anszani wtz hakuna kumbukumbu 2010 agenda ya Richmond ndo iliwapaisha Leo hii anasema mini?

Hakuna kitu muhimu kama kwenda na wakati na kusonga mbele, yaani uturudishe 5 years back! Haitawezekana!
 
ajibu hoja zilizotolewa na dr na sio kutuletea habari za yeye na mkeo

Sidhani kama analazimika kufanya hili, omba appointment naye akakujibu maana wengine kwetu hata asipojibu poa tu!
 
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.

Rafiki maji yameshamwagika hayazoleki kama mzee slaa alikuahidi kipande cha dhahabu ndo imetoka hivyo, usibaki kulalamika kwanini kwanini take your time my dear brother.
 
Sidhani kama analazimika kufanya hili, omba appointment naye akakujibu maana wengine kwetu hata asipojibu poa tu!


basi hakuna haja ya kutuletea hizo ngonjera za slaa na mkeo maana hazituhusu,,
 
Dah....mwenzenu nimeota ati katika karatasi ya kupigia kura Dr Magufuli anaonekana kavaa wigi jeupe ili kuwa-confuse wapiga kura!:bump2:

CCM:rip:. Hata wafanye nini mwaka huu lazima tuwakate kuwaonesha nguvu ya umma!
 
Wewe Gamba Msaliti Mvatican mwenye kutetea Maslahi ya Mafia wa Vatican huna jipya... Yaani wewe unaona kuwa ni bora akina Mama waendelee kulala wane wane mahospitalini, Watoto waendelee kusoma chini ya Miti, kipindupindu kiendelee kuua wananchi, Tembo waendelee kuuawa, Sembe iendelee kushamiri, shilingi iendelee kushuka thamani, maisha yaendelee kuwa magumu, UFISADI uendelee kutamalaki in favor of Vatican, Madini yetu yaendelee kuwanufaisha nchi za Magharibi.... Grrrrrrrrrrrrrr Wewe na Slaa uliemshauri kupokea Mabilioni ya ESCROW Taifa linawahukumu kama Wasaliti wa MAgeuzi, Wasaliti wa Mabadiliko ya kuiondoa CCM yenye Mfumo mbovu kuliko hata ule wa Kikoloni ..
Na kweli mpo mnaoamini ni mali ya Watanzania? well.. labda kweli mpo mnaoamini hivyo.
 
Mbowe tatizo lake anszani wtz hakuna kumbukumbu 2010 agenda ya Richmond ndo iliwapaisha Leo hii anasema mini?

Ludi Kwenye Mada Acha Kuchanganyikiwa Chadema Si Mali Ya Mtu Mmoja Chadema Ni Taacc Hata Mbowe Akizingua Anakaa Pembeni Tunaendelea Na Safari Nini Slaa!
 
CHADEMA ni mali ya Mbowe na Baba mkwe wake, maamuzi yote hufanyika Tengeru kwa Baba Mkwe.
 
Back
Top Bottom