Asante M-PESA kwa gawio

Asante M-PESA kwa gawio

Nafuu yangu
Screenshot_20190623-134440_Messages.jpeg
 
Leo ilikua Siku ya gawio LA mpesa.Mimi nimepewa 50 wewe je.
Mimi nimepata 550/=! kama kichekesho vile. Nikikumbuka miamala ambayo nimeishafanya toka gawio la mara ya mwisho, naona kama kichekesho vile.
Naona ni kama wanafanya miamala hamsini gawio ni shilingi 20!!
Wazo lako ni jema sana.
Bora wazikusanye wazipeleke kwenye nyumba za yatima!
 
2632 nimepata nimeshangaa sikujuwa ya nini labda walicharge kimakosa sikujuwa ni gawio
 
Wamenipa 670...hizi fedha ni bora wasitupe wateja bali walipeleke kwenye huduma za kijamii kama zahanati,shule,yatima n.k
 
Ee unafikiri pesa inakaa tu mpesa kuwapa watu faida, pesa inazunguka kuleta myingine mkuu, umeweka laki mpesa mwezi, unapata gawio la 2000, ungeizungusha hiyo unapata kiasi gani
Amekufahamisha tu jinsi ya kupata gawio ni hiari yako kuweka au kutoweka.
 
Mimi nilipata jana 26240 na leo nimepata 8900. Ili uweze kupata gawio la kutosha jenga utamaduni wa kuweka pesa kwenye akaunti yako bila kutoa angalau kwa mwezi mmoja. Km unaingiza pesa na kuzitoa hata ungefanya miamala ya thamani kubwa kiasi gani haitakusaidia kupata gawio kubwa. Nawashauri mjitahidi kuweka akiba kwa kuweka pesa kwenye akaunti zenu kupitia wakala M-PESA na si kutumiwa na mtu. Pesa ya kutumiwa haihesabiwi. Zile pesa unazoweka akiba kwenye akaunti yako huwa zinaingizwa kwenye mzunguko wa biashara na ndo maana unapata gawio. Mfumo wa mpesa ni mfumo uleule wa bank.
Kwa hiyo tuachane na benki?
 
Nilikua bar Jana kuna fala akawa anapiga stori zako. Eti anakuwinda kinyama japo hakuji na mapenzi yake kwako ni endless!! Bad enough sijui anatumia User name gani but kama yule kizee Asprin yuko Bukoba na jana alikua Sky Motel basi ndo mwenyewe mmmmmae
Mimi??? Bukoba? Hapana asee. Sina hata mpango wa kufika huko
 
Back
Top Bottom