Imma mfugale
Member
- Jan 29, 2015
- 68
- 89
441.00
Haya ndo matatizo ya kutumia fake IDMimi??? Bukoba? Hapana asee. Sina hata mpango wa kufika huko
Maneno yako!!! Unavyoongea kwa high volumeKavutiwa na nn kwangu huyo babu mbn mm wa kawaida tu jaman
Pole aiseeNimepokea Tzs 89 halafu kuna mtu nilikuwa nategemea aniingizie 100K muda huo...Hasira ilinipanda Ghafula baada ya kurudia kusoma Ujumbe ndo nikagundua si yeye ni Gawio![]()
Usiseme kwa sauti! Wanaweza kutunyanga "mtumo" mmoja!Hata mimi nimepata mara mbili!
Jana na leo!
Sijajua kwanini! ?
Congratulations. You are bold enough to show us your M-Pesa balance. A lot of guys have deleted their balances.6FM42G3IC7G Confirmed.You have received Tsh155.00 from 219777 - M-PESA FAIDA on 22/6/19 at 7:31 AM New M-Pesa balance is Tsh952,378.78.
Watu wamekaa kimkakatiCongratulations. You are bold enough to show us your M-Pesa balance. A lot of guys have deleted their balances.



946, laini nyingine 487Leo ilikua Siku ya gawio LA mpesa.Mimi nimepewa 50 wewe je.
Mkuuu, inawezekana! Hebu piga hesabu, ina wateja wangapi. Binafsi nimepewa 5,000/= +Halafu utasikia kuwa vodacom wamerudisha gawiwo kwa wateja wake jumla ya shilingi bilioni 3!!!kweli????
Gawio lako umetumiwa katika line ya tigo?
ww naona umepewa code number ya bongo
Nimeridhika mkuuView attachment 1136311
Nilihamishia kwenye handset yenye tG, ambayo ndiyo yenye uhondo huu wa internet!
Umeridhika?