Nilikua bar Jana kuna fala akawa anapiga stori zako. Eti anakuwinda kinyama japo hakuji na mapenzi yake kwako ni endless!! Bad enough sijui anatumia User name gani but kama yule kizee Asprin yuko Bukoba na jana alikua Sky Motel basi ndo mwenyewe mmmmmae
Jf inafanya East Africa kuwa ka mtaa flani hivi kadogoooKhaaaa yan Bukoba mpaka Dom city anisake mm Asha boko inawezekana kweli
Jf inafanya East Africa kuwa ka mtaa flani hivi kadogooo
Umeshapata tiba!!?Khaaaa yan Bukoba mpaka Dom city anisake mm Asha boko inawezekana kweli
Tsh 639/=Leo ilikua Siku ya gawio LA mpesa.Mimi nimepewa 50 wewe je.
Umeshapata tiba!!?
Nimepokea Tzs 89 halafu kuna mtu nilikuwa nategemea aniingizie 100K muda huo...Hasira ilinipanda Ghafula baada ya kurudia kusoma Ujumbe ndo nikagundua si yeye ni GawioLeo ilikua Siku ya gawio LA mpesa.Mimi nimepewa 50 wewe je.



Halafu utasikia kuwa vodacom wamerudisha gawiwo kwa wateja wake jumla ya shilingi bilioni 3!!!kweli????Wapuuzi wamenipa 101 wakati natumia zaidi kila siku kutuma na kuweka
Nimepokea Tzs 89 halafu kuna mtu nilikuwa nategemea aniingizie 100K muda huo...Hasira ilinipanda Ghafula baada ya kurudia kusoma Ujumbe ndo nikagundua si yeye ni Gawio![]()