Asante kwa Squad nzima ya Simba SC, ila hawa watu wametufikisha nchi ya ahadi

Asante kwa Squad nzima ya Simba SC, ila hawa watu wametufikisha nchi ya ahadi

Sio mwili mkavu tyuu, kuna vitu zaidi ya hivyo.

Simba wanajuaga kuniletea 🥰, walivyo mtoa Kanoute, nliumia mno, mara paap Yusuf huyuu, woiiiih
😂😂😂😂😂
Unazidi kuzitaja sifa zangu yani Mimi ukiniona Kagoma mtupu ukinsogelea karibu Kanoute huyu hpa mulemule
 
Mungu ibariki Simba Sc nzima

Heshima kwa wachezaji wote, bench la ufundi, uongozi na mashabiki dunia nzima, mmetuheshimisha sana.

Pamoja na timu nzima kutupeleka fainali lakini wapo watu ambao majina yao inabidi yaandikwe kwa wino mwekundu wa moto..Majina yao yaandikwe sio kwenye kuta za Simba tu bali za Tanzania kama nchi.

1. Fadlu Davids
2. Elie Mpanzu
3. Jean Ahoua
4. Pinpin Camara
5. Kibu Denis Kibu Denga
6. Yusufu Kagoma
7. Hamza Spear Jr

#Simba Nguvu Moja
1745819245591.jpg
 
Yanga alifika fainali bila hata ya kelele. Na alimfunga mwenyeji goli 1-0 siku hiyo mbelel ya mashabiki wake lukuki waliojitokeza siku hiyo. Ni vile tu sheria ya goli la ugenini ndiyo ilimuokoa siku ile na fedheha.

Maana waliopelekewa kwenye ile fainali ulikuwa siyo wa dunia hii.

Kelele si hizi mnapiga nyie kwa uchungu

Mmetamba na medali zenu wee, sasa sisi tunasema Medali bila Kombe ni sawa sawa na kuvaa Shanga
 
1. Mimi ningewashukuru wachezaji.

2.Namshukuru Muwekezaji.

3.Nawashukuru Benchi la Ufundi, ma kocha, ma daktari,

4.Naishukuru Body ya wakurugenzi.

5. Mwenyekiti na CEO.

6. wabachama wote.

7. Mashabiki.

8. Selikali na wizara.

Samia Simshukuru.
 
Yanga alifika fainali bila hata ya kelele. Na alimfunga mwenyeji goli 1-0 siku hiyo mbelel ya mashabiki wake lukuki waliojitokeza siku hiyo. Ni vile tu sheria ya goli la ugenini ndiyo ilimuokoa siku ile na fedheha.

Maana waliopelekewa kwenye ile fainali ulikuwa siyo wa dunia hii.
Fabrice Ngoma anasema kichaka kimefyekwa fyeeeeeeeeeeeeee
 
Yanga alifika fainali bila hata ya kelele. Na alimfunga mwenyeji goli 1-0 siku hiyo mbelel ya mashabiki wake lukuki waliojitokeza siku hiyo. Ni vile tu sheria ya goli la ugenini ndiyo ilimuokoa siku ile na fedheha.

Maana waliopelekewa kwenye ile fainali ulikuwa siyo wa dunia hii.
Habari za Yanga zimeingiaje hapa ndugu? Busara ilikuwa kusoma na kupita kimyakimya.
 
Back
Top Bottom