Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,576
Mimi au mleta mada? Umeona kuna sehemu ame-aknoledge viongozi wake?Uchawi huo
Mimi au mleta mada? Umeona kuna sehemu ame-aknoledge viongozi wake?Uchawi huo
Mungu ibariki Simba Sc nzima
Heshima kwa wachezaji wote, bench la ufundi, uongozi na mashabiki dunia nzima, mmetuheshimisha sana.
Orodha imewazingatiaMimi au mleta mada? Umeona kuna sehemu ame-aknoledge viongozi wake?
Kapombe anaupiga sana; sema ni vile yeye ni mtanzania.Bila Kapombe na Mohamed Husein list hii ni batili
Mleta madaMimi au mleta mada? Umeona kuna sehemu ame-aknoledge viongozi wake?
0763353035Mwenye No ya Yusuf Kagoma, naomba anipe, ana vitu vyangu kabisaa, yule mkaka.
🔥🔥🔥🔥
😂😂😂 jina lililosajiriwa hii no limenichekesha hatari,0763353035
Hao ni tuma hiyo ela kwenye namba hii.😂😂😂 jina lililosajiriwa hii no limenichekesha hatari,
Hii sio ya Yusuf bhana.
Kwa kweli, 😂😂😂😂Hao ni tuma hiyo ela kwenye namba hii.