"Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

"Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

Ukiona anakujibu hivyo, ujuwe anakaribia kukubali ombi lako... Usichoke

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Bora hivyo...kuna Mwingine anakwambia na Mimi nakupenda...yani umetupia mtongozo wako wa nguvu then from no where anakwambia na mimi Nakupenda..
 
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
Dogo bado upo ligi ndogo sana,Wadada wa siku hizi hawahitaji nguvu nyingi kuwaingiza nyavuni. Omba techniques kwa wakongwe.
 
Back
Top Bottom