Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,493
- 45,834
Hapana mkuu hiyo ni bei ya UlayaYaani mtu ana USD 30,000 aache kwendq ulaya kihalali aende msubiji au SA???
Hapo msumbiji mbona hata kwa mguu unafika
Hapana mkuu hiyo ni bei ya UlayaYaani mtu ana USD 30,000 aache kwendq ulaya kihalali aende msubiji au SA???
Hakuna njaa ...vita ilikuwa katika jimbo la tigray ila kwasasa imeisha. Ni hulka tu kuwa ukifika huko mbefele umetoboaNjaa na vita
nimeelewaMalizie mwenyewe...hahaa
Watu wanajichanga ndio maana wanasafiri kwa Makundi.Kakosea, labda $ 3,000/=
Kichwa chenye uwezo wa kutoa USD 2000 hakisafirishwi hivyo.Sana angetoboa hapo siyo mwenzetu ndio maana utajiri una siri nzito sana hao wapo 20 kila kichwa minimum usd 2000 maana yake alikuwa anapiga 100m kama amesimama
Bussness as usualKwa Ccm hakuna la kushangaa hapo.
Ni mambo ya kawaida
HahahaHata mimi huwa nikisafiri na ninajua nitavunnja sheria za usalama barabarani huwa naweka bendera ya CCM mbele na kofia juu ya dashboard na wimbo wa Capt. John Komba. Napitaga tu tena trafiki huniombaga hela ya chai nawarushiaga 3000/= wanagawana.
Akajipange UpyaMgawanyo haukwenda vizuri tu. Pole msafirishaji yote maisha
Biashara ya Human Trafficking ina cost Mabilion Mzee.....sema hujui.Kichwa chenye uwezo wa kutoa USD 2000 hakisafirishwi hivyo.
Akili ya kawaida na uzoefu wa kutafsiri haukubaliani.
Kila biashara inaweza kulipa billions kutegemea kiwango au level.Biashara ya Human Trafficking ina cost Mabilion Mzee.....sema hujui.
Kuna dereva wa lorry aliwaweka wavietnam 39 kwenye container kutoka BelgiumMzee tripu moja tu si ana bilioni na gari lenyewe unalirudisha kwa bosi
Wamerushana wakachomana itakuwa. Sio rahisi vx lenye bendera ya ccm kusimamishwa na askari barabarani.Mtanzania Edward Erihard (31) Mkazi wa Dodoma anashikiliwa na Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kusafirisha kinyume na sheria Wahamiaji 20 Raia wa Ethiopia.
Akiongea Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Manyara ACP Lucas Mwakatundu amesema tukio hilo limetokea March 23 2024 ambapo gari hilo limekamatwa katika kizuizi barabara ya Arusha Babati eneo la Minjingu likiwa na Wahamiaji ishirini Raia wa Ethiopia kwenye gari namba T.774 BDL Land Cruiser likiwa na bendera ya Chama cha Mapinduzi CCM.
“Gari hili V8 lilikuwa na Bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenye upekuzi tulipoona sura tofauti na Watanzania ilibidi tuweke gari pembeni na baadae kuwashusha tukakuta wapo Wahamiaji 20 kwenye gari V8 na wote uelekeo wao ni kusini mwa Afrika wakitokea usawa wa Arusha, Dereva wa gari hili ni Mkazi wa Dodoma tunamshikilia mpaka sasa na kesho tunatarajia kuwakabidhi Uhamiaji”
Chanzo: Ayo TV
kuna MMOJA amefanana na Bashe sana... 🤣🤣🤣Njaa na vita
asa pesa si wanazo... na sijui wanatoa wapi pesa... mtu anaweza kulipa dola 2000... ili avushwe... au ndio wanauza kila kitu ili kujiokoa....?Kule ni njaa