mijitu kama hii haijui kama kuna wakati watu wataichoka....next JK
JK alipochakachhua tu...alikimbilia kwa jamaa huyu kumshukuru kwa ushauri...sijui sas hivi anajisikiaje huko alikojificha
mijitu kama hii haijui kama kuna wakati watu wataichoka....next JK
:twitch::twitch::twitch:Msiwaandame jamani.
Nafahamu mwawaandama kwa sababu tu ni Waislaam.
Huko Egypt, kama huyu Rais angelikuwa Mkristo, wala wasingelisema.
Mbona Jk kakaa kama hajiamni???
Huoni madesa hayo hapo pembeni?
JK alipochakachhua tu...alikimbilia kwa jamaa huyu kumshukuru kwa ushauri...sijui sas hivi anajisikiaje huko alikojificha
/QUOTE]
Kijasho kinamtoka haaaaa.
The wind of revolution is blowing towards EA
the wind will never get to tanzania. Makondoo sisi. Viongozi wa dini watasema, "mzitii mamlaka zote....." tutawasikiliza bila kujiuliza. Misri kuna wasomi na si tanzania. Tusibonyeze keyboards zetu kujifurahisha.
nchi nzima masharobalo....L.O.L