As the revolt in Egypt spreads....

Wakati maandamano na vurugu za MAFARAO kutaka Rais Mubarak wa misri ajiuzulu,jioni hii kwa mara ya kwanza tangu awe raisi ameteua makamu wa rais ,Omar Suleiman na kumwapisha na kuanza kazi mara moja. Source ALJAZEERA LIVE.

Acha mambo ya udaku haya mambo kayaandike kwenye magazeti ya udaku kichwa cha habari hakifanani na kitu ulichoandika hapa unaonekana kama mmbea vile kwani ni lazima upost? Au kwasababu kupost ni bure? Tuache mambo ya ushabiki wa kimbea hapa jamvini humu kuna watu wa aina mbalimbali wanasoma na hawavutiwi na vichwa vya habari vya kidaku kama hiki
 
Hovyo kabisa! What a disappointment!! Inabidi aanze kutiamaji nywele cz he is next in line na hayo madesa yake!!

JK amesinyaa, anajua amekwiba kura na kupora chaguo la umma, hakika ajiandae kwa kuwahi nafasi Saudi Arabia kama Ben Ali wa Tunisia.
wizi ni wizi na hauna mbadala, ameiba kwa kutumia UWT na makuruta wa IGP Mwema, na jibu la uovu wote anao ndio maana hapati usingizi, hana raha na bila shaka keshajiandaa kuondoka.
 
Acha mambo ya udaku haya mambo kayaandike kwenye magazeti ya udaku kichwa cha habari hakifanani na kitu ulichoandika hapa unaonekana kama mmbea vile kwani ni lazima upost? Au kwasababu kupost ni bure? Tuache mambo ya ushabiki wa kimbea hapa jamvini humu kuna watu wa aina mbalimbali wanasoma na hawavutiwi na vichwa vya habari vya kidaku kama hiki

mubarak anaondoka na :car: au :plane: !?
 
TAARIFA YA WIKILEAKS-UDOM
HATIMA YA UDOSO-FEDERAION
UTANGULIZI:
Kwanza kabisa tunapenda kutoa pongezi kwa makamanda wote wapigania haki za msingi kwa wanafunzi wenzetu, tutakuwa wachoyo wa fadhira kama hatuto mpongeza mh. Leornad singo na waziri wake mkuu na baraza lake la mawaziri na serekali yake kwa ujumla wao.
Kwa masikitiko makubwa duniani mpaka mbinguni kwa usaliti uliyo fanywa na unaoendelea kufanya na UDOSO-FEDERATION inayo ongozwa na mh. BAISI(RAIS) akisaidiwa na kibaraka wake wa karibu anayejiita GENERAL SECRETARY(GS) au WAZIRI MKUU wa udoso-federation mh. JOSEPH MARWA(B.COM HRM 3rd year) hawa wote hawajui majukumu yao kama viongozi wa kubwa katika serekali ya UDOM.
Kabla hatujaenda kokote tujue UDOSO-FEDERATION ni serikali ya namna gani; hii ni serikali ya shirikisho inayo unganisha collage zote hapa UDOM. Lakini cha kushangaza UDOSO-FEDERATION ni serikali iliyo kufa kimahamuzi mpaka kiutendaji ndio maana inafikia hatua inashindwa kutoa mahamuzi yenye tija kwa maendeleo ya chuo chetu kwa taarifa hii na chelae kusema safari yao ya kwenda IKULU kuonana na MH. RAISI(JAKAYA KIKWETE) ilikuwa na agenda za siri juu ya mstakabali wa maisha yetu hapa chuoni na tabu zinazo tukabili sababu hawajaweza kutoa taarifa kwa UMMA wa wanaUDOM safari yao IKULU ilikuwana mantiki gani na kama ilikuwa na sababu za kiuwazi kwanini hawaja tupa taarifa hadi sasa(IKULU wameenda miezi miwili iliyopita)
UDOSO-FEDERATION imekuwa ni serikali inayo dandia hoja kwa mbele na sio kuanzisha za kwao wenyewe kama serekali yenye nguvu kimaamuzi. MFANO; mgomo wa education & social science and humanities. UDOSO-FEDERATION haija husika hata chembe katika mafanikio ya madai yetu ambayo wao UDOSO-FEDERATION wa nasema hayana msingi hata tija,lakini yenyewe imekuwa ni serekali ya kutafuna FEDHA za wanafunzi kwa kufanya SAFARI NJE YA NCHI na kujilipa POSHO NYINGI.




MADHUMUNI YA TAARIFA:
Madhumuni ya taarifa hii ni kufanya ushawishi kwa wanafunzi wote wa UDOM kushinikiza UDOSO-FEDERATION kujiuzuru wenyewe bila ya nguvu ya UMA wa UDOM kutumia nguvu ya kuwaondoa kwa maandamano sababu niya tunayo na sababu tunayo na uwezo tunao na nguvu tunayo.sababu za kujiuzuru kwa UDOSO-FEDERATION ni kama zifuatovyo;
· Ushiriki wa UDOSO-FEDERATION katika mgomo wa EDUCATION
Ndugu wana UDOM nasikitika tena sana kuona UDOSO-FEDERATION walivyo wanafiki katika kuwapigania wafunzi wenzao. Ndio maana chuo chetu kina kithiri migomo kila kukicha sababu uongozi wa shirikisho hautatui matatizo ya wanafunzi. Ndio maana RAISI BAISI hawataki kumuona EDUCATION na hawatambui serekali yake na vibaraka wenzake akiwemo GS(JOSEPH MARWA) ndio maana tunaomba mstep down kwa hiari yenu wenyewe.

· Ushiriki wa UDOSO-FEDERATION katika mgomo wa SOCIAL SCIENCE
Hapa cha kushanga siku ya Tarehe 20/12/2010, siku ya mgomo wa wanaume wa social science RAISI (BAISI) na kibaraka wake WAZIRI MKUU wake (JOSEPH MARWA) walikuwa CLUB 84 wakati wanafunzi wenzao wakiwa katika harakati za kudai FIELD. Hawa jamaa ni vibaraka wa serikali ndio maana wameenda kuonana na RAISI bila taarifa tena kuna tetesi zinasema wamekwenda IKULU kwa kutumia FEDHA za UDOSO kufanya safari za KICHAMA.

· MSTAKABALI WA UFISADI KATIKA UDOSO-FEDERATION
Hapa napenda tuwekane sawa kuna mambo takribani 15 yanayo husiana na UFISADI katika UDOSO-FEDERATION ya Bwana Baisi(RAISI) na katibu wake mkuu(JOSEPH MARWA), ndio maana WIKILEAKS-UDOM imeyabaini na kujilidhisha,tena yapo mambo mengi sana wanayo fanya hawa jamaa wa UDOSO-FEDERATION tutayachambua moja moja mpaka wajiuzuru hawa vibaraka wa UTAWALA.
(1)Safari ya NAIROBI(KENYA) ya kimichezo
Nashindwa kuchelea kusema katibu mkuu(JOSEPH MARWA,B.COM HRM 3rd year) kujiuzuru kwa sababu amekwenda Nairobi kwenye safari ya kimichezo kimya kimya bila taarifa za kiofisi ndio maana safari yake inakadiriwa kugharimu kiasi cha million 8 za kitanzania.
(2)kujilipa posho kwasiku 20000/= kama fedha ya mawasiliano kwa siku
Nikiwa kama mwanaudom watu hawa kweli ni mafisadi kama kwa siku wanajilipa 20000,kwa mwezi ni laki sita pata mchanganua wa siku kwa semester mbili( siku 252 kwa mwaka) watu hawa mpaka uongozi wao unafika kikomo wanapata fedha kwa ajili ya mawasiliano ni milioni tano na arobaino elfu(5,040,000/= tu),sijui haya mawasiliano wana fanya na nani na kwamanufaa gani kama hawajui hakizao za kimsingi. Naomba wajiudhuru wenyewe bila nguvu ya uma kuchukua mkondo wake katika maamuzi.
(3)kuandaa matamasha ya kifisadi ya kimichezo kwa siri kubwa kwa makusudi ya kifisadi;
mfano: tamasha lililo fanyika KILIMANI linakadiliwa kutumia kiasi cha milioni 11 za wanafunzi tena watoto wa mkulima wakati kunawanafunzi takribani 192 hawajapata mikopo yao kama hii fedha wange kopeshwa hawa wanafunzi si ingekuwa bora zaidi kuliko hasara walioipata.
(4)kupika safari na vikao visivyo kuwa na tija ili kujipatia posho.
Mfano:
· Safari ndani ya Dodoma perday ni 20000/=
· Safari nje ya Dodoma perday ni 40000/=
· Posho ya kikao kimoja perday ni 30000/


(5)kupanda gharama za bidhaa madukani na vyakula cafeteria inasadikika kuwa UDOSO-FEDERATION wana pata 10% ya mapato.
(6) inasadikika wamechoma ofisi ya UDOSO chimwaga kwaajili ya kupoteza ushaidi wa nyaraka zao za kifisadi hasa mapato na matumizi.
(7) inasadikika MH. BAISI(RAISI) amenunua gari aina ya COSTA inayofanya safari DODOMA-MOROGORO yenye namba T 123BACU,kwa kutumia fedha za wanafunzi kujinufaisha wenyewe.
(8)wanafanya mkakati wa kuandaa serikali ya UDOSO-FEDERATION na serikali ya social science ilikupunguza makali ya collage ya social science katika kudai haki zao vile vile kuficha WIZI wanaoufanya ofisini.mkakati huo unafanywa na katibu mkuu(JOSEPH MARWA,B.COM HRM)
(9)Katibu mkuu na Raisi UDOSO-FEDERATION kung'ang'ania fedha za takribani milioni 18 za collage ya social science kutofanya mambo yake yanayo husu utendaji mfano: kununua vifaa vya kimichezo. Kama vile kulipia BILL YA DSTV.nk

(10) kutumia fedha za wanafunzi kwenza Dar-es-salaam kwenye shughuli za chama IKULU,kuonana na RAISI bila kutupa ripoti nini walicho kwenda kuzungumza na RAISI KIKWETE IKULU. Huku mtendaji mkuu wa safari hivyo mpaka kufanikiwa alikuwa ndugu terry ambaye ni kada maarufu sana wa CCM.
WALIOKWENDA HIYO SAFARI NI:
BAISI(RAISI FEDARATION).
JOSEPH MARWA(KATIBU MKUU FEDERATION)
SUMERA FYEKA(MJUMBE WA CCM)
NA WENGINE(WAJUMBE WA CCM)

MAADHIMIO
· Kufanya mapinduzi ya UDOSO-federation ndani ya masaa 48 kuanzia sasa.sababu hatuoni kazi yao bali ni kula fedha za wana UDOM tu.
· Watoe tamko kwanini walikwenda IKULU kwa shughuli za kichama na kwa nini walikuwa hawataki college ya social science waende FIELD.
· Tunawapa masaa 48 ya kujiuzuru.
ANGALIZO
Serikali zote za college ziunge mkono kupinduliwa kwa UDOSO-federation sababu wao ndio vikwazo na chanzo cha matatizo yote yanayotokea hapa UDOM.

NAKALA.
Mbao zote za matangazo
· College of informatics.
· College of social science and humanities
· College of education
· College of natural science
· College of health
· Chimwaga Hall.
 
Msiwaandame jamani.

Nafahamu mwawaandama kwa sababu tu ni Waislaam.

Huko Egypt, kama huyu Rais angelikuwa Mkristo, wala wasingelisema.

Nilishakudokeza kwenye thread fulani kuwa hizo sujui niseme tafsida zako watu wanaweza wasikuelewe, mimi najua unamaanisha nini kwa sababu kuna siku ulisema maneno kama hayo watu wakakuandama lakini baadaye ulifafanua kuwa ulimaanisha kama kinyume chake vile.
 
As the revolt in Egypt spreads, Barack Obama faces a familiar dilemma in the Middle East.

Foreign Policy - Argument
BY GARY SICK | JANUARY 29, 2011

The string of popular uprisings that are rocking the Arab world, most recently in Egypt, have created a fundamental dilemma for U.S. policy in the Middle East. Policymakers are being forced to place a bet on an outcome that is inherently unpredictable and pregnant with some unsavory consequences.

There is no shortage of talk about the conditions in these Arab countries that has given rise to the revolts. They have very young populations, poor economic performance, meager future prospects, a widening divide between the wealthy and the poor, and live with a culture of authoritarian arrogance from governments that have come to regard their position as a matter of entitlement.

The line between monarchies and "republics" has become so blurred as to be meaningless. Family dynasties rule ... and rule and rule, seemingly forever.

Just about everyone agreed it had to change. But the masses appeared so passive, the governments so efficient at repression - the one job they did really well - that no one was willing to predict when or how change would happen.

Now that the status quo is shaking, there are expressions of amazement that the U.S. government made its bed with such dictatorial regimes for so long. We coddled them and gave them huge sums of money while averting our eyes from the more distasteful aspects of their rule. How to explain this hypocrisy?

The facts are not so mysterious. It was an Egyptian dictator (Anwar Sadat) who made peace with Israel, leading to his assassination; and it was another dictator (Hosni Mubarak) who kept that peace, however cold, for the past 30 years. As part of that initial bargain and successive agreements, the United States has paid in excess of $60 billion to the government of Egypt and an amount approaching $100 billion to Israel. The investment may be huge, but since the Camp David agreement negotiated by President Jimmy Carter in 1978 there has been no new Arab-Israel war.

Some may quibble with the crude implication of a payoff or the collapsing of several generations of politics in the Middle East into this simple formula. But it has some validity. Here is how Vice President Joe Biden answered when PBS anchor Jim Lehrer asked him whether Egyptian President Hosni Mubarak was a dictator:

Look, Mubarak has been an ally of ours in a number of things and he's been very responsible on, relative to geopolitical interests in the region: Middle East peace efforts, the actions Egypt has taken relative to normalizing the relationship with Israel.

And I think that it would be - I would not refer to him as a dictator.

Leslie Gelb, a former senior U.S. government official and president emeritus of the Council on Foreign Relations, put it this way:

The stakes are sky high. Egypt is the linchpin to peace in the Middle East. So long as Egypt refrains from warring against Israel, other Arab states cannot take military action by themselves...

So in some minds, the issue is primarily about Israel. As far as I can tell, the government of Israel has yet to declare itself on the wave of uprisings in the Arab world. But if this is an Israeli issue, then it is not just a U.S. foreign-policy problem but also a domestic one, especially in the run up to a presidential election year. The stakes, indeed, could be very high.

It is often forgotten, but there was a major Israeli dimension to the Iranian revolution of 1978-79 as well. The shah of Iran was Israel's best friend in the Muslim world, an essential part of Israel's doctrine of the periphery. Israel not only cultivated nations just outside the core Arab center, but in the case of Iran received a substantial portion of its energy supplies via covert oil deliveries to Eilat from the Persian Gulf. Israel and Iran also collaborated on joint development and testing of a ballistic missile system capable of delivering a nuclear warhead.

President Richard Nixon and his advisor Henry Kissinger formalized the U.S. relationship during a meeting with the shah in 1972. They asked him to serve as the protector of U.S. security interests in the Persian Gulf at a time when the British were withdrawing and the United States was tied down in Indochina. Not only was Iran (and specifically the shah) the linchpin of U.S. regional security, but the United States had no backup plan. So confident was everyone that the shah or his successor would maintain this highly personal relationship that there had been no effort to fashion a Plan B in the event of an unexpected catastrophe.

There is genuine irony in the fact that Carter, Sadat, and Israeli Prime Minister Menachem Begin were at Camp David, in meetings that set the terms for more than a generation of uneasy peace in the Middle East, on the same day that the shah's regime experienced what would eventually prove to be its death blow - the massacre of protestors at Jaleh Square in Tehran on Sept. 8, 1978.

There is no need to strain the analogy. Iran and Egypt were and are very different places, with very different political dynamics. But the fundamental nature of the decision that is required today by the United States is not very different from the dilemma faced by the Carter administration three decades ago. Should you back the regime to the hilt, in the conviction that a change of leadership would likely endanger your most precious security interests? Or should you side with the opposition - either because you agree with its goals or simply because you want to be on the "right side of history" (and in a better position to pursue your policy objectives) once the dust has settled?

Of course, there is a third way. You may try to carefully maintain your ties with the current ruler (see Biden above), while offering rhetorical support to freedom of expression, democracy, and human rights. Regrettably, as the Carter administration can attest, that may produce the worst of both worlds. If the ruler falls, he and his supporters will accuse you of being so lukewarm in your support that it was perceived as disavowal; whereas the opposition will dismiss your pious expressions as cynical and ineffectual.

Revolutions are inherently unpredictable. They may fizzle or subside in the face of sustained regime oppression. They may inspire a hard line military man to "restore order" and perhaps thereby elevate himself into a position of political authority that he is later loathe to relinquish. They may propel a determined radical fringe into power and thereby impose an ideology that has nothing to do with what people thought they were fighting for. They may go on far longer than anyone imagined at the start.

But for engaged outside powers, such as the United States in the Egyptian situation, a major revolt calls for a leap into the unknown. If you sit back and wait, events may simply pass you by. But if you jump into the fray too early (or with a mistaken notion of what is actually going on) you may lose all influence in the future political construct, whatever that may be. In any event, you should start thinking about how to repair or rebuild a security structure that had been safely on autopilot for too long.

Welcome to the real world, Mr. Obama

Gary Sick is adjunct professor of Middle East politics at Columbia University. He was a member of the National Security Council staff under presidents Ford, Carter and Reagan and was the principal White House aide for Iran during the Iranian Revolution and the subsequent hostage crisis.
 
Baada ya maandamano na mauaji ya wananchi nchini Misri ambayo yamefikia watu 53 mpaka sasa,baraza la Mawaziri limeamua kujiuzulu.
Source:Aljazeera

Rais pia anatakiwa aondoke madarakani ili nchi itulie na amani irejee
 
Sikuamini kwamba hadi Leo Chadema wangekuwa hawajaitisha maandamano nchi nzima. Umeme, ufisadi, mpolisi kuua raia, ubora wa elimu kushuka mno, huduma za afya zadorora, foleni, ...
 
Back
Top Bottom