Arusha yawaka moto.


Source??
 
source its me. ama usubiri tamko lililotolewa mbele ya vyombo vya habari muda huu na Mwenyekiti wa CDM TAIFA.
 

Kishongo ni kweli tunataka amani lakini hapa ninachoona huyu anawafundisha wananchi wasio na silaha kujihami na mabomu ya polisi, hajawaambia wachukue silaha, bali anataka wakipigwa mabomu wasidhurike wajipe huduma ya kwanza!! Wanaotakiwa kulinda amani ni polisi wenye silaha na mabomu na viongozi wa juu wa serikalo, jambo ambalo Mpaka Kieleweke ameshatujuza kwamba limeshafanyika na sasa hali ni shwari!
 
Andengenye,sifa zitamponza,ole wake damu imwagike Ocampo wa Icc,atamshugulikia .
 
Amani unayo wewe na mafisadi lakini wa walala hoi na wananchi wa kawaida hatuna amani.....amani inatunzwa na wananchi wenyenye nyang'au wewe
 
Mimi nawasifu sana Kamanda Mbowe na timu yake pamoja na makomredi wote walioko Arusha pamoja na wale waliotoka jirani kuja kutia nguvu mshikamano huu wa kupambana na ufedhuli unaofanywa na Baadhi ya viongozi wa serikali na chama chao. Maana ukiona mpaka PM anaingia katika mjadala huo ujue maji yako shingoni na wamegundua hawawezi kupambana na nguvu ya Umma inapoamua kuwajibika.
CCM ilishazoea kuona waTZ wakiwa kama makondoo, sasa watajifunza kuwa wakati huo umepita.
Tunawaomba wa Tanzania wote wenye mapenzi mema na nchi hii popote walipo watamke kuwa HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE. Tabia ya ukondoo ibaki historia, na manyang'au yatatambua kuwa sasa sio mchezo. Hongera Arusha, tunasubiri na Mwanza kama kawaida yenu.
 
Its a good News! sasa naendelea na kazi za kujenga taifa hili maskini kwa kujitakia.
 
polisi badala ya kulinda amani wao wako tayari kupiga watu....aagh dis country bwana
 


Wewe ndugu, huo uchochezi uko wapi?
Alichosema hapo memba ni kuwaeleza namna ya kupunguza madhara ya hayo mabomu yanayotumiwa na hao majambazi kuwapiga wananchi wasio na hatia!!
Ulitakaje!! Au ulitaka wapewe kisago wewe ukenuwe ndio uone hiyo ndio amani na utulivu!
How dense can one be????
 
Sasa serikali inajua kuwa haiwezi kucheza na nguvu ya umma. Ilitokea Mwanza kabla ya kumtangaza mshindi wa ubunge.
 

Kuwa na chupa ya 1.5 liters ya maji ni Uchochezi wa vurugu?
Kitambaa au Leso ya kujifunga usoni ni uchochezi?
Kuangalia uelekeo wa upepo ni uchochezi?
Kuwa na manati ni uchochezi?

Kushinda kwa nguvu ya wananchi nao ni uchochezi?

Kishongo kama umeshiba makombo ya fedha za ufisadi na huna cha kuandika si unyamaze tu?
Kuna mtu atakuona mjinga??
 
Arusha leo imenikumbusha Afghanistan.
Imenionyesha kuwa hakuna Democracy.
Udikteta full.
 
Your peaceful Tz is robbing our rights and democracy. Ushauri mzuri sana huo, hata wanafunzi wa Udom wameutumia juzi. We koma na kujipendekeza kwako huku unasingizia amani. Tumeishawashtukia nyie wajinga mnaotuchezea huku mnadanganyia amani na utulivu. Ulaaniwe wewe unayekumbatia wizi wa kura kwa kisingizio cha amani.
 
Mie nafikiri majeshi yetu ,yana upungufu ktk mafundisho yao. huko sijui wananyweshwa BANGE wakidhani watakuwa wakakamavu ama vipi? maana hawa jamaa hata watoto wa chekechea wakigoma watawapa kichapo watoto hao kipigo cha mbwa mwizi.

Kifupi kuna tatizo kubwa sana ktk systems zetu zote za elimu na mafunzo.
 
eti ana kadigrii ka teaching kakanunua .wakati akiwa mpambe wa mahita.
 
Umesema ukweli. Wanafundishwa ubabe bila ethics.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…