Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,867
Cha Chama cha makinikia.Kibendera
Cha Chama cha makinikia.Kibendera
Wekeni picha kulikuwa Ipad iliyokuwa ikiwapiga.Ni full vichekesho.Mie nimeona tai ya kijani au utasema ni Waziri Mwigulu? Bwana Ngushi naona nyie mmeshaamua liwalo na liwe, hadi binti wa Sokoine mkamkataa alipokataa ujinga wa kwenda chadema.
Duh!! Umati unatisha!!!!Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
View attachment 527071
Baadhi ya Wananchi wa Arusha wakifanya Maandamano yakumuunga mkono Rais Magufuli
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
Kibendera la ufipaCha Chama cha makinikia.
hahahahahahahaha Jingalao kweli umeamua, unajisikiaje kwa taabu yote unayopata kujaribu kuubadili mchana kuwa usiku.Hakukuwa na bendera ya Chama ..chochote
Hapana ulikua nayo weweKwani we ndo ulikuwa unalist ya majina Na status ya vyama kwa hao waandamanaji?
Haaaaa kumbe weka picha basiTumewaona hao waganga njaa wakiwa na sare zao.
Kwani ukisema uvccm wa arusha utapungukiwa nini?
Weka pichaNimeona mashati ya kijani mengi kweli
Mmmmmhh haya mkuu, ndo upeo wetu huo.Unajisikiaje usiku unavyobadilika kuwa mchana?
Nilete taarifa ya kikundi cha watu kumi na nane?Mbona hukuleta hiyo taarifa?
Unafikiri hii nchi ni ya baba yako?Na wengine wakiandamana kumpinga waruhusiwe