wewe uliwaona hao 600 au ulikariri alichotangaza mtangazaji, mimi nimewaona live, wewe umeambiwa na mtu anaewafurahisha watawala..pole.Umeangalia ITV kweli wewe?!! Watu zaidi ya 600 ndio hawafiki 10?!! Ama kweli ukiwa mfuasi wa Lissu Akili zako zinakuwa sawa na za Ng'ombe tu.