Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.

lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
View attachment 527071
Baadhi ya Wananchi wa Arusha wakifanya Maandamano yakumuunga mkono Rais Magufuli

My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
Kwani maandamano yameruhusiwa?
 
Jinga huijui Arusha vizuri. Hao wameandaliwa. Najua maandalizi yote.
 
Arusha kijan utaiona kwenye miti tu na mbonga za majani lkn sio kwa watu..
 
Back
Top Bottom