morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
Aibu yao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aibu yao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa, sisi wapuuzi tupo upande wa Mhe Rais kurudisha rasilimali zetu, na nyinyi wastaarabu mpo upande wa ACACIA waondoke na kila kitu chetu, 2020 tutaonana.
report ya utafiti inasema wenye elimu ya secondary, elimu ya juu na ufundi wanaikubali ccm kwa 46% na chadema wanaikubali kwa 21%. sasa hapo ni asilimia ipi kubwa wanaisapoti ccm??Wanaikubali maana umeeleza ukweli kwamba umaarufu wa mkubwa unashuka, na anajitahidi pia kushusha umaarufu wa wapinzani wake kwa kuwazuia kufanya siasa. Wanaikubali kwa kuwa umeonyesha kwamba wanaokipenda chama wengi ni mbumbumbu na vikongwe ambao uwezo wao wa kutafakari ni mdogo.
Samahani, unafahamu mbinu za kufanya utafiti na uliishawahi kufanya, ili tuanze kujadili kitafiti badala ya mihemko ya kiitikadi? Kabla ya kunijibu jifunze kuandika: alafu=halafu, matajili=matajirireport ya utafiti inasema wenye elimu ya secondary, elimu ya juu na ufundi wanaikubali ccm kwa 46% na chadema wanaikubali kwa 21%. sasa hapo ni asilimia ipi kubwa wanaisapoti ccm??
watu wachukulia kwamba kati ya watu wanaoisapoti chadema, % kubwa imepatikana kwa wasomi na kujifariji kwamba wanakubalika zaidi na wasomi kuliko ccm, alaf wanasahau kwamba hata hiyo asilimia inayowakubali haijafikia hata nusu ya wanaoikubali ccm. ndo maana huitwa manyumbu.
hata vijana wa miaka 18-29 wanaikubali ccm kwa 55% na wanaoikubali chadema ni 21%. lakin utawasikia wanasema wao (cdm) wanakubalika zaidi na vijana. akili za ajabu kabisa.
matajili wanaikubali ccm kwa 53% na chadema kwa 21%, lakin bavicha watasema wanakubalika zaidi na matajili kuliko ccm.
bavicha wakachukua sentensi moja tu kwamba chadema wanakubalika zaidi miongoni mwa vijana, wasomi na matajili, bila kutafiti kama hizo asilimia zao za kukubalika zinawazidi ccm. mambo ya ajabu kabisa.
Walikuwa na kibali cha polisi??Hakukuwa na bendera ya Chama ..chochote
Kesho wananchi wa Singida wakiomba waandamane kumuunga mkono mbunge wao Lisu watapata kibari cha Polisi?Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
ujumbe ushaupata mkuu!..Samahani, unafahamu mbinu za kufanya utafiti na uliishawahi kufanya, ili tuanze kujadili kitafiti badala ya mihemko ya kiitikadi? Kabla ya kunijibu jifunze kuandika: alafu=halafu, matajili=matajiri
na mkishindwa uchaguzi msianze kulalamika, ooh tume,ooh police wanatisha watu. utafiti ndo huo mshauona na kuukubali.Samahani, unafahamu mbinu za kufanya utafiti na uliishawahi kufanya, ili tuanze kujadili kitafiti badala ya mihemko ya kiitikadi? Kabla ya kunijibu jifunze kuandika: alafu=halafu, matajili=matajiri
Hongereni sana Arusha, tuko pamoja.Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
Watu hua mnapenda kujipa faraja mioyoni mwenu hata kwenye hamnaKwani ukisema uvccm wa arusha utapungukiwa nini?
Kwani we ndo ulikuwa unalist ya majina Na status ya vyama kwa hao waandamanaji?Kwani ukisema uvccm wa arusha utapungukiwa nini?
Tumewaona hao waganga njaa wakiwa na sare zao.Kwani we ndo ulikuwa unalist ya majina Na status ya vyama kwa hao waandamanaji?
Nani katoa kibali cha maandamano hayo???Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
WametakiwaKuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.