mgusi mukulu
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 715
- 682
Hata mimi mkuu nipo hapa Soweto garden, hakuna kitu kama hicho.Mimi nipo Arsh hakuna hyo kitu labda ungesema kakikundi ka UVccm
Yruhusiwe na maandamano ya kupinga upendeleo kwa kabila lake, kutowaongezea mshahara watumishi wa umma pamoja na gharama za maisha kupanda!Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
Kwani mpaka kuwepo bendera ya magamba ndipo iwe maandamano ya magamba wachanga?Hakukuwa na bendera ya Chama ..chochote
Wanaikubali maana umeeleza ukweli kwamba umaarufu wa mkubwa unashuka, na anajitahidi pia kushusha umaarufu wa wapinzani wake kwa kuwazuia kufanya siasa. Wanaikubali kwa kuwa umeonyesha kwamba wanaokipenda chama wengi ni mbumbumbu na vikongwe ambao uwezo wao wa kutafakari ni mdogo.Hiyo ripoti ya Twaweza mnaikubali au hamuikubali?
una unasaba na lissu yule?HONGERA YAO WAMEONYESHA UZALENDO
Sawa, sisi wapuuzi tupo upande wa Mhe Rais kurudisha rasilimali zetu, na nyinyi wastaarabu mpo upande wa ACACIA waondoke na kila kitu chetu, 2020 tutaonana.Hao ni wapuuzi wa CCM wenye akili ndogo km mwenyekiti Kipara
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sioni waandamanaji labda huko mtaa wa bondeni