wapuuzi ndo mliruhusu kuibiwa mali zetu zoteSawa, sisi wapuuzi tupo upande wa Mhe Rais kurudisha rasilimali zetu, na nyinyi wastaarabu mpo upande wa ACACIA waondoke na kila kitu chetu, 2020 tutaonana.
Mzee wa Kisongo naye ameandamana?
Hivi umekumbuka hata kwenda kujitambulisha huko jukwaa la kujitambulisha? AU kwa vile umeongeza ID unadhani wote wanakujua?HONGERA YAO WAMEONYESHA UZALENDO
Hivi hadi walipofika kwa mkuu wa wilaya walikuwa sokoni bado?Huu ni uhini wa ccm. Walivyo wachache Arusha, wameandika makartasi ya kwenye semina na kwenda kujipanga kwenye eneo la sokoni ambako watu wengi wanapita na kufanya biasharak au kweney busy street, wakapiga picha na kuita maandamano makubwa!
CCM hatafufuka tena!!! Imekufa mazima!.
. Upuuzi mtupu!
Mbona ni kiduchu?Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
View attachment 527071
Baadhi ya Wananchi wa Arusha wakifanya Maandamano yakumuunga mkono Rais Magufuli
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
Mkuu nilikutana nao halafu wengi walevi, waliokuwa salama hawafiki hata 10, jumla ya maandamano yalikuwa na watu hawazidi 30, wachafu halafu defender ya polisi ipo nyuma yao, inawasindikiza yaani kilikuwa ni kituko na hata UVCCM wenye akili timamu hawakushiriki.Walikuwa Uvccm Hata Kumi Hawafiki,wamevaa Jezi Yao Ccm
Sawa, ndio tulishirikiana na wapuuzi wengine waliohamia kwenu na mkawapa uongozi, lakini sisi sasa tunataka mali zetu, nyinyi na viongozi waliohamia huko hamtaki. All in all tukutane 2020wapuuzi ndo mliruhusu kuibiwa mali zetu zote
Umeangalia ITV kweli wewe?!! Watu zaidi ya 600 ndio hawafiki 10?!! Ama kweli ukiwa mfuasi wa Lissu Akili zako zinakuwa sawa na za Ng'ombe tu.Mkuu nilikutana nao halafu wengi walevi, waliokuwa salama hawafiki hata 10, jumla ya maandamano yalikuwa na watu hawazidi 30, wachafu halafu defender ya polisi ipo nyuma yao, inawasindikiza yaani kilikuwa ni kituko na hata UVCCM wenye akili timamu hawakushiriki.
Mlichokosea ni kutokuvaa magwanda ya kijani,Uvccm mmejitahidiKuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.
lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
View attachment 527071
Baadhi ya Wananchi wa Arusha wakifanya Maandamano yakumuunga mkono Rais Magufuli
My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
NdioKuna maandamano duniani yasiyokuwa na wapita njia?