Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

sema baadhi ya wakazi wa Arusha..mi cjaona hayo maandamano na niko Arusha ktkt ya mji.
 
Kama kweli wewe ni Mtanzania na una akili timamu
Huwezi kuacha kumpongeza Rais kwa hili
 
Nimeshuhudia hayo maandamano, palikuwa hapatoshi!
Niko Arusha kesho narudi Dar!
 
Ccm hupenda sana maandamano kwa nini wakati yanasababisha uvunjifu wa amani?
 
Kuna maandamano makubwa yamemalizika muda si mrefu katika jiji la kitalii na kiharakati...yamepokelewa na DC wa Arusha.

lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono hatua za Rais Magufuli kusimamia Rasilimali za nchi.
View attachment 527071
Baadhi ya Wananchi wa Arusha wakifanya Maandamano yakumuunga mkono Rais Magufuli

My Take:
Tuwapongeze wananchi kwa uelewa na kuwa wamoja kama Taifa.
Msalimie mwenyekiti KIPALA wa chama
 
Siamini kama Kaskazini kuna Ujinga kama huo....

Ujinga kama huo unaweza kufanyika Dodoma na mikoa ya Kusini
 
Kama kweli wewe ni Mtanzania na una akili timamu
Huwezi kuacha kumpongeza Rais kwa hili
Kama wewe ni mtanzania na una akili timamu, huwezi kuacha kazi zako ukaandamana kumpongeza mtu anayetimiza wajibu wake, na ambaye analipwa kwa kodi yako.
 
Back
Top Bottom