Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,440
Arusha tuliujua Kama mji wa kitalii ila kwa niliyoyaona umekuwa mji wa machinga toka Dar.
Nimeingia Arusha Jana jioni Mji umekuwa wa ovyo sana Town Kati kila chocho, barabarani machinga wamejazana tu najiuliza machinga wa Dar mbona Kama ndo wamehamia Arusha? Maana nakumbuka kipindi kile hiace zimepigwa marufuku Jijin Dar wamiliki wote wa vi hiace waliviamishia Moshi na Dar ina onekana na kwa Machinga imekua hvo .
Town pale kuanzia Jogoo house kupanda mpka mianzin na viunga vyake hamna ustarabu kabisa hiace nyingi vi panki ndo usiseme barabara ndogo kwa sababu ya machinga kuvamia sehem za barabara,uendeshaji wa ovyo ovyo ukizubaa mguu huna.
Nilichoka baada kuona watu wanapanga furniture used mjini kabisa pembezoni mwa barabara ,wanapanga ma viti yalichoka, mabati yaliyo oza ukitoka round about pale karbu na pin point kwa juu kidogo geti Dogo la kuingilia Arusha Technical pale ndo biashara za ovyo bila utaratibu zinafanyika.
Kila kitu kikiwa na utaratibu inapendeza kwa hili nililoliona Arusha Operation ya machinga iendelee miji yote watafutiwe sehem zao.
Nimeingia Arusha Jana jioni Mji umekuwa wa ovyo sana Town Kati kila chocho, barabarani machinga wamejazana tu najiuliza machinga wa Dar mbona Kama ndo wamehamia Arusha? Maana nakumbuka kipindi kile hiace zimepigwa marufuku Jijin Dar wamiliki wote wa vi hiace waliviamishia Moshi na Dar ina onekana na kwa Machinga imekua hvo .
Town pale kuanzia Jogoo house kupanda mpka mianzin na viunga vyake hamna ustarabu kabisa hiace nyingi vi panki ndo usiseme barabara ndogo kwa sababu ya machinga kuvamia sehem za barabara,uendeshaji wa ovyo ovyo ukizubaa mguu huna.
Nilichoka baada kuona watu wanapanga furniture used mjini kabisa pembezoni mwa barabara ,wanapanga ma viti yalichoka, mabati yaliyo oza ukitoka round about pale karbu na pin point kwa juu kidogo geti Dogo la kuingilia Arusha Technical pale ndo biashara za ovyo bila utaratibu zinafanyika.
Kila kitu kikiwa na utaratibu inapendeza kwa hili nililoliona Arusha Operation ya machinga iendelee miji yote watafutiwe sehem zao.