Arusha na Kilimanjaro hawajawahi kunyenyekea mwanasiasa wala kiongozi: Miaka yote wamekataa kutawaliwa wanaongozwa

Hivi nyie mna shida gani lakini watu wa kanda hiyo? Mnaonaje mkiamua kuhamia Kenya kabisa? Kwanini mmejengeka kwenye ukabila uliopitiliza. Ni mambo gani ya mabaya so far mmefanyiwa na viongozi hata mkajihisi kutaka maridhiano? Na agenda yenu kwa Taifa ni nini?

Nilipinga ukabila enzi jirani YETU WA chato akikimboza maendeleo kule kwetu but I know for sure kwamba tunatakiwa kupapenda kwetu, tupaendeleze.

Wivu lazima upo ila unatufikisha wapi? Tuwatese Kwa sababu wanatuzidi? Tuwafilisi Kwa sababu tunahofia watatumia utajiri wao kuweka kiongoz madarakani ? No. Tushirikiane nao watupe ajira.....usimloge mwajiri maana akifa utakosa kazi
 
Wewe ni mkabila tu. Umejaribu kuficha fikira zako za ukabila kwa kigezo cha ukanda wa kaskazini na makabila ya kasikazini lakini ukweli ni kwamba unaongelea wachaga hao wengine ni kichako chako cha kujificha tu.
Aah, ndugu. I think you missed the point...

Ingeweza kuwa ameongelea "ku - promote fikra za ukabila" iwapo angefanya hivyo in a way kwamba anaponda jamii/kabila zingine. But personally I don't see this from the first paragraph to the end...

Lakini huyu ndugu kajadili jambo/mambo muhimu ya kitaifa na ya kujenga sana akitumia jamii za kaskazini wachagga, Masai, wameru nk as a point of reference...

Shida iko wapi hapo? Mimi nadhani weww ndiye uliye na mapungufu ya kushindwa KUSOMA KWA UMAKINI ili uweze KUELEWA MANTIKI (LOGIC) ya usomacho...!!
UBINAFSI ULIOPITILIZA NDIO UNAWAK-COST sana hadi kuona kwamba makabila mengine yanawachukia.
Hujaelewa...!

Please, don't be naive. Rudia tena kumsoma ili uelewe LOGIC ya andiko lote. Hakuna elements za u - selfish hapo...!!

Ukiona unasemwa vibaya na kila mtu au na watu wengi kwenye jamii ujue una tatizo/matatizo jitafakali.
Hapa una maana gani? Naona kama umechanganya madesa. Kwani nani anamsema vibaya nani?

Mimi ninachoona hapa ni kuwa Bi Beatrice Kamugisha has presented a point of his views to be discussed on the floor. It's surprisingly that wewe umeamua kuipa maana na tafsiri yako hoja yote just to suit your interests which in my opinion are just based on hatred...!!

Pole sana...
 
Nawapongeza wachaga, waarusha, wairaq, wambulu, waMeru na
Wamasai kwa kukataa kutawaliwa. Hawa watu toka enzi ya mkoloni walimkataa mkoloni kwa vitendo, mkoloni alipobaini ni vigumu kuwatumikisha akaamua atumie wamishenari kwa ajili ya kutangaza injili kurahisisha njia ya kuwatala lakini wamishenari nao baadhi walioonyesha kutaka kupeleka ukoloni waliuwawa na baadhi kukimbizwa. Matokeo yake badala wawatawale wakalazimika kuwapa fursa ya elimu na strategy za maendeleo. Wakakua na kumsaidia Mwalimu kuongoza nchi kwa misingi ya kibepari siyo kijamaa, Mwalimu akapishana nao lakini kila alipopishana nao akabaini Wana mtandao mkubwa na uwezo wao wakutafuta fursa ni mkubwa hivyo akakubali yaishe.

Alichogombana nao Mwalimu ilikuwa mfumo wao wa kufikiri, walifikiri na kuthamini kwao na hivyo kupeleka maendeleo Kwao ambapo Kwa sera za Mwalimu ya ujamaa huu ulikuwa wizi na ubinafsi.

Hawa watu wakakua na kupanuka kama siafu, wakasomesha na kusomeshwa na Kila walipofanikiwa kipaombele kikawa nyumbani. Kwa kupanuka HUKO wakaoa na kuolewa katika makabila na mataifa mbalimbali. Huko kote awakukubali kuwa mazuzu wakaamua wawe kichwa siyo mkia. Si wanawake wala wanaume wote wakadhamiria kuwa vichwa.

Ukiamua kuwa kichwa maana yake wewe ndiye unayeongoza mwili mzima, ukiamua kuwa kichwa mean umepanga kufikiri kwa ajili ya wenzako, ukiamua kuwa kichwa utataka wakati wote usimame peke Yako kijamii, kiuchumi na kiimani. So, hawa watu wa kaskazini wakaamua kusoma,kuwekeza, kuwa watu wa kumcha Mungu nakadhalika. Means kila kona wapo, makabila mengine kama sisi Wahaya tumejikita kusoma na kuishi maeneo ya hadhi kutokana na salary lakini Hawa viumbe wa kaskazini hata ungemlipa kiasi gani Bado atawaza kuwa na sehemu kwenye biashara, atawaza position kwenye nyumba za ibada na atawaza kuchangia maendeleo pale alipojiestablish. These people are not selfish when I comes to development whether strategy or engagement, they are at the top.

Kwa uchambuzi huo utabaini Mwinyi aliwaogopa,Mkapa akawaogopa na kibaya zaidi wakawa shemeji Yao, Jk akawaweka karibu sa kumsaidia, JPM awali akawaweka kando lakini akaja kubaini akipambana nao anapambana na anguko lake. Akaamua baada ya kitenga kaskazini Kwa muda akatafuta namna yakwenda kuwatembelea, akatafuta uungwaji mkono wa wazee wa kimila Kwa gharama yoyote, akawanunua wanasiasa wa ukanda huo, akapeleka watu wakupambana na wote alioamini wanamkwamisha lakini wao Kwa akili kibwa awakutaka kuresist openly, wakajifanya wajinga siku zipite huku wakiendelea kupambana.

Watu walisema mengi, Kesi nyingi zikaelekezwa kwao, wakasumbuliwa nakufunguliwa Kesi kila Kona, wakaachwa kwenye uteuzi lakini finally ikamlazimu prezidaa kurudi kwao kuomba uungwaji mkono. Ikapelekwa treni na matangazo mengi, wakakosa shukrani Kwa sababu wanaamini wao siyo qatu wakuongwa treni ya mkoloni. Wakapelekewa miradi lakini Bado wakajiweka busy as if Bado wanachotaka hakijapatikana. Watawala wakabaini uchumi unadorora na wanaoweza kuendesha biashara nchini ni Hawa Hawa ambao tumewafilisi. Ndipo msamaha ukapita lakini Uhuru wao ukawa matatani, sidhani kama waliacha kutafuta Uhuru wao kamisani, misikitini na kwingine kote, waliendelea kujitaftia Uhuru wao.

Awamu ya sita ilipoingia tu watu wa kwanza kuonja matunda wakawa kanda ya kaskazini, lakini Bado watu Hawa wana manung'uniko. Nakumbuka Askofu shoo alipokutana na Mhe. RAIS KCMC alimweleza wazi wao Kwa niaba ya watanzania wanataka Nini? Upatanisho. Kwa Wal wasioona mbali nadhani watashindwa kuona nguvu ya watu hawa ila watawala wanateswa na kile kinachoitwa ukaskazini. Wanaelewa kqamba hata ungewateua wote, kama mmoja wao yupo Mahabusu bila hatia basi wewe siyo mtu mwema kwao. Wanaelewa fika kwamba wasipotetea Uhuru wa mmoja wao Leo Kesho wote watapokonywa Uhuru mdogo uliobaki kwao. Wanaamini Vita siyo baina ya Jambo kingine Bali Vita hii ni ileile waliyopihgana na mkoloni imerudi. Wakukubali kusalitiana watawaliwa na siyo kuongozwa. Hii Vita imekaa kwenye siasa lakini imetoka kwenye uchumi, karata zisipochangwa vyema wakafanikiwa watanunua Uhuru wao Kwa fedha na gharama kubwa.

Wamesimama, na wanazidi kuimarika kuepuka kutawaliwa. Miradi Yao imepotea na Leo kaka na baba Yao yupo Mahabusu. Siyo kazi ndogo kiutawala. Anapozaliwa Mtoto anayeitwa tamasha la kitamaduni msione amezaliwa hivi hivi, hii ni Ile Ile treni ya mkoloni imeletwa kwenu Kwa njia nyingine. From no where tu kama mchicha lizaliwe tamasha na mgeni rasmi awe Presdaa. Hapana tunapaswa kutambua wazi kwamba Uhuru unakwenda kupokwa. Tamasha siyo reward ya machungu waliyopitia ndugu zetu. Ofcoz kanjibhai and a like wao wamepata ukombozi wao kupitia R. Aziz na manjo but wenzetu our black competitors wameteswa sana, strength yao imetingishwa na kupitia tamasha sidhani kama strategies itafaulu.


Nadhani Sasa tuamue Moja kuendelea kuwabinya au kuwapa Uhuru. Lakini wakati tunakwenda Kaskazini niombe tukatibu majeraha ya Kusini palipofungwa milango ya Korosho,gesi na mazao mengine. We need to go to Mtwara as we go to Kilimanjaro. We need to see Mtwara, Lindi and Ruvuma wanasherekea Uhuru mpya,wanapata MATUMAINI ya kulima Korosho,wanapata MATUMAINI ya gesi na wanatangazwa kuwa wao ni watoto wa Tanzania. Natambua hakuna wakuwasemea ila sisi wazee tunaelewa lipo tatizo Kusini linahitaji aidha tamasha au matembezi nakutoa ahadi ya matumaini. My sister my President pls simama imara naamini unaweza. Kaskazini nipagumu na najua uwezi kumaliza leo ila Sasa deni kubwa lipo Kusini anapotoka PM na anapotoka Nape.........wanaweza wasiwe na nguvu yakusema adharani ila wanakuitaji kama mfariji na ukafungue Kusini corridor after years of suffering.

Nihitimishe Kwa kusema tamasha pekee linaloweza kutoa faraja Kwa wana Kaskazini nikumtoa Mtoto wao kizuizini. Huwezi kuwaonga watu wa Kaskazini Kwa sababu wao ndio walioshikilia uchumi wa nchi, wape Uhuru watumie vipawa vyao kukusaidia kukuza uchumi, kupambana na waliofanikiwa nikujifelisha.

Tamasha la Kilimanjaro likawe njia yakuuendea Uhuru mpya uliopokwa kwao na watemi akina Gambo, Sabaya, Muro, Mnyeti na Degaro
Hivi nyingi wachaga bado mnaamini ndo wenye hela peke yenu nchi hii? Endeleni kujifurahisha kuna makabila kibao yanamaendeleo kila sekta! Tembeeni msikariri kusafiri moshi dar mkajua ndo mwisho wa nchi!
 
Nawapongeza wachaga, waarusha, wairaq, wambulu, waMeru na
Wamasai kwa kukataa kutawaliwa. Hawa watu toka enzi ya mkoloni walimkataa mkoloni kwa vitendo, mkoloni alipobaini ni vigumu kuwatumikisha akaamua atumie wamishenari kwa ajili ya kutangaza injili kurahisisha njia ya kuwatala lakini wamishenari nao baadhi walioonyesha kutaka kupeleka ukoloni waliuwawa na baadhi kukimbizwa. Matokeo yake badala wawatawale wakalazimika kuwapa fursa ya elimu na strategy za maendeleo. Wakakua na kumsaidia Mwalimu kuongoza nchi kwa misingi ya kibepari siyo kijamaa, Mwalimu akapishana nao lakini kila alipopishana nao akabaini Wana mtandao mkubwa na uwezo wao wakutafuta fursa ni mkubwa hivyo akakubali yaishe.

Alichogombana nao Mwalimu ilikuwa mfumo wao wa kufikiri, walifikiri na kuthamini kwao na hivyo kupeleka maendeleo Kwao ambapo Kwa sera za Mwalimu ya ujamaa huu ulikuwa wizi na ubinafsi.

Hawa watu wakakua na kupanuka kama siafu, wakasomesha na kusomeshwa na Kila walipofanikiwa kipaombele kikawa nyumbani. Kwa kupanuka HUKO wakaoa na kuolewa katika makabila na mataifa mbalimbali. Huko kote awakukubali kuwa mazuzu wakaamua wawe kichwa siyo mkia. Si wanawake wala wanaume wote wakadhamiria kuwa vichwa.

Ukiamua kuwa kichwa maana yake wewe ndiye unayeongoza mwili mzima, ukiamua kuwa kichwa mean umepanga kufikiri kwa ajili ya wenzako, ukiamua kuwa kichwa utataka wakati wote usimame peke Yako kijamii, kiuchumi na kiimani. So, hawa watu wa kaskazini wakaamua kusoma,kuwekeza, kuwa watu wa kumcha Mungu nakadhalika. Means kila kona wapo, makabila mengine kama sisi Wahaya tumejikita kusoma na kuishi maeneo ya hadhi kutokana na salary lakini Hawa viumbe wa kaskazini hata ungemlipa kiasi gani Bado atawaza kuwa na sehemu kwenye biashara, atawaza position kwenye nyumba za ibada na atawaza kuchangia maendeleo pale alipojiestablish. These people are not selfish when I comes to development whether strategy or engagement, they are at the top.

Kwa uchambuzi huo utabaini Mwinyi aliwaogopa,Mkapa akawaogopa na kibaya zaidi wakawa shemeji Yao, Jk akawaweka karibu sa kumsaidia, JPM awali akawaweka kando lakini akaja kubaini akipambana nao anapambana na anguko lake. Akaamua baada ya kitenga kaskazini Kwa muda akatafuta namna yakwenda kuwatembelea, akatafuta uungwaji mkono wa wazee wa kimila Kwa gharama yoyote, akawanunua wanasiasa wa ukanda huo, akapeleka watu wakupambana na wote alioamini wanamkwamisha lakini wao Kwa akili kibwa awakutaka kuresist openly, wakajifanya wajinga siku zipite huku wakiendelea kupambana.

Watu walisema mengi, Kesi nyingi zikaelekezwa kwao, wakasumbuliwa nakufunguliwa Kesi kila Kona, wakaachwa kwenye uteuzi lakini finally ikamlazimu prezidaa kurudi kwao kuomba uungwaji mkono. Ikapelekwa treni na matangazo mengi, wakakosa shukrani Kwa sababu wanaamini wao siyo qatu wakuongwa treni ya mkoloni. Wakapelekewa miradi lakini Bado wakajiweka busy as if Bado wanachotaka hakijapatikana. Watawala wakabaini uchumi unadorora na wanaoweza kuendesha biashara nchini ni Hawa Hawa ambao tumewafilisi. Ndipo msamaha ukapita lakini Uhuru wao ukawa matatani, sidhani kama waliacha kutafuta Uhuru wao kamisani, misikitini na kwingine kote, waliendelea kujitaftia Uhuru wao.

Awamu ya sita ilipoingia tu watu wa kwanza kuonja matunda wakawa kanda ya kaskazini, lakini Bado watu Hawa wana manung'uniko. Nakumbuka Askofu shoo alipokutana na Mhe. RAIS KCMC alimweleza wazi wao Kwa niaba ya watanzania wanataka Nini? Upatanisho. Kwa Wal wasioona mbali nadhani watashindwa kuona nguvu ya watu hawa ila watawala wanateswa na kile kinachoitwa ukaskazini. Wanaelewa kqamba hata ungewateua wote, kama mmoja wao yupo Mahabusu bila hatia basi wewe siyo mtu mwema kwao. Wanaelewa fika kwamba wasipotetea Uhuru wa mmoja wao Leo Kesho wote watapokonywa Uhuru mdogo uliobaki kwao. Wanaamini Vita siyo baina ya Jambo kingine Bali Vita hii ni ileile waliyopihgana na mkoloni imerudi. Wakukubali kusalitiana watawaliwa na siyo kuongozwa. Hii Vita imekaa kwenye siasa lakini imetoka kwenye uchumi, karata zisipochangwa vyema wakafanikiwa watanunua Uhuru wao Kwa fedha na gharama kubwa.

Wamesimama, na wanazidi kuimarika kuepuka kutawaliwa. Miradi Yao imepotea na Leo kaka na baba Yao yupo Mahabusu. Siyo kazi ndogo kiutawala. Anapozaliwa Mtoto anayeitwa tamasha la kitamaduni msione amezaliwa hivi hivi, hii ni Ile Ile treni ya mkoloni imeletwa kwenu Kwa njia nyingine. From no where tu kama mchicha lizaliwe tamasha na mgeni rasmi awe Presdaa. Hapana tunapaswa kutambua wazi kwamba Uhuru unakwenda kupokwa. Tamasha siyo reward ya machungu waliyopitia ndugu zetu. Ofcoz kanjibhai and a like wao wamepata ukombozi wao kupitia R. Aziz na manjo but wenzetu our black competitors wameteswa sana, strength yao imetingishwa na kupitia tamasha sidhani kama strategies itafaulu.


Nadhani Sasa tuamue Moja kuendelea kuwabinya au kuwapa Uhuru. Lakini wakati tunakwenda Kaskazini niombe tukatibu majeraha ya Kusini palipofungwa milango ya Korosho,gesi na mazao mengine. We need to go to Mtwara as we go to Kilimanjaro. We need to see Mtwara, Lindi and Ruvuma wanasherekea Uhuru mpya,wanapata MATUMAINI ya kulima Korosho,wanapata MATUMAINI ya gesi na wanatangazwa kuwa wao ni watoto wa Tanzania. Natambua hakuna wakuwasemea ila sisi wazee tunaelewa lipo tatizo Kusini linahitaji aidha tamasha au matembezi nakutoa ahadi ya matumaini. My sister my President pls simama imara naamini unaweza. Kaskazini nipagumu na najua uwezi kumaliza leo ila Sasa deni kubwa lipo Kusini anapotoka PM na anapotoka Nape.........wanaweza wasiwe na nguvu yakusema adharani ila wanakuitaji kama mfariji na ukafungue Kusini corridor after years of suffering.

Nihitimishe Kwa kusema tamasha pekee linaloweza kutoa faraja Kwa wana Kaskazini nikumtoa Mtoto wao kizuizini. Huwezi kuwaonga watu wa Kaskazini Kwa sababu wao ndio walioshikilia uchumi wa nchi, wape Uhuru watumie vipawa vyao kukusaidia kukuza uchumi, kupambana na waliofanikiwa nikujifelisha.

Tamasha la Kilimanjaro likawe njia yakuuendea Uhuru mpya uliopokwa kwao na watemi akina Gambo, Sabaya, Muro, Mnyeti na Degaro

Nasari hakuunga juhudi ccm,,?sio mmeru
 
Hivi nyie mna shida gani lakini watu wa kanda hiyo? Mnaonaje mkiamua kuhamia Kenya kabisa? Kwanini mmejengeka kwenye ukabila uliopitiliza. Ni mambo gani ya mabaya so far mmefanyiwa na viongozi hata mkajihisi kutaka maridhiano? Na agenda yenu kwa Taifa ni nini?
Halafu rais wao ni Tundu lissu na VP wao ni poyoyo salum mwalimu.
 
Back
Top Bottom