charminglady we ushaamka??????
Heheheheeeee sawa bhana unajua umezidisha majungu Mr RockyMungi kule ulikoenda jana si mvua ilikukuta huko huko na ukampigia wife kumwambia kuwa eti ofcn kwenu kuna kikao cha dharura utachelewa kurudi Erickb52 dah pale nilipokuacha jana kama hukuondoka na wale wadada watatu sijui maana walikuwa wanakuchuna wote Arushaone umepona majeraha ya jana kuanguka kwenye mtaro baada ya kufakamia ndyofu Filipo wewe ndo kabisa wala usiseme ulikuwa home kwako wakati umeamkia kwenye gari na nguo zile zile za jana na kumdanganya wife eti ulipata safari ya ghafla ya kwenda moshi kikazi Dena Amsi my wife asante sana jana ilikuwa mwake mbaya achana na Arushaone anakuyeyusha hapa
Mungi kule ulikoenda jana si mvua ilikukuta huko huko na ukampigia wife kumwambia kuwa eti ofcn kwenu kuna kikao cha dharura utachelewa kurudi Erickb52 dah pale nilipokuacha jana kama hukuondoka na wale wadada watatu sijui maana walikuwa wanakuchuna wote Arushaone umepona majeraha ya jana kuanguka kwenye mtaro baada ya kufakamia ndyofu Filipo wewe ndo kabisa wala usiseme ulikuwa home kwako wakati umeamkia kwenye gari na nguo zile zile za jana na kumdanganya wife eti ulipata safari ya ghafla ya kwenda moshi kikazi Dena Amsi my wife asante sana jana ilikuwa mwake mbaya achana na Arushaone anakuyeyusha hapa
Erickb52 huyu mwenzetu Mzee wa Rula kapoteaa utadhani kifanyio cha jogoo!
kaa mbali na huyo kijana! Sijui kama mvua haikumletea shida huko sinoni anakokaa!?